Sunday

zifahamu styles 6 za-kiufundi za za kufaidi katika tendo la ndoa jifunze hizi na uone faida zake

Secret 13
JIFUNZE SEX STYLES ZA KUPEANA RAHA NA UTAMU ZAIDI NA MKE WAKO AMA MUMEO KUPORESHA PENZI.
man woman sex flirting 
FLATIRON
 
FLATIRON 

Jinsi Ya Kujipanga
Mwanamke alale kitandani uso ukiangalia chini makalio yaangalie juu, asisahau kubinua nyonga/makalio juu kidogo(kama mvivu kidogo aweke mto(pillow) chini ya kinena),kujibinua kwake kutaongeza raha na utamu zaidi

Faida Za Hii Style 
Mwanamke anapata nafasi ya kuenjoy Raha na Utamu akiwa amerelax,na kwakuwa miili inakuwa imebanana sana,mashine ya mwanaume itaonekana kubwa kidogo

Maujanja Ya Ziada 
Mwanaume awe anapump taratibu kwa juu sio lazima sana aingie deep,akumbuke kuhema vizuri asije akachoka haraka
 


G-WHIZ

 
G-WHIZ

Jinsi Ya Kujipanga. 

Mwanamke alale chali(uso,matiti na kila kitu viangalie juu),kisha Mwanaume apige magoti mbele yake,baada ya hapo,mwanamke aweke miguu yake kwenye mabega ya mwanaume(kama inavyoonekana kwenye picha),unaweza kuweka mto(pillow) chini ya makalio ya mwanamke awe more comfortable and relaxed.


Faida za Hii Style 
Mwanamke akiweka miguu juu ya mabega ya mwanaume wakati wa kupeana Raha na Utamu,kuna faida mbili mtaenjoy,ya Kwanza, mashine ya mwanamme na uke wa mwanamke zote zinakuwa katika level sawa,hii inasaidia mashine ya mwanaume kuisugua vizuri G-spot,na Pili Uke wa mwanamke unajibana kidogo,ikijibana inaongezeka kuwa tight,na kufanya starehe ya tendo kuzidi


Maujanja Zaidi.
Mwanaume inabidi ashikilie makalio ya mwanamke,akipump kuelekea juu ili aweze kuilenga vizuri G-spot
G-Whiz 


FACE-OFF

 
FACE-OFF
Jinsi Ya Kujipanga. 

Mwanaume akae juu ya kiti au pembeni ya kitanda(kama inavyoonekana hapo kwenye picha juu),mwanamke aje akae juu yake(kama inavyoonyesha kwenye picha hapo juu).



Faida Za Hii Style
Mwanamke anakuwa ana uwezo wa kucontrol kila kitu, spidi itakayotumika na mashine iingie ndani ya uke kiasi gani na pia ni style nzuri kwa wale ambao wanapenda kupeana Raha na Utamu kwa Spidi kubwa, mwanamke hawezi kuchoka haraka kwa kuwa anapata balance na support ya kutosha.


Maujanja Zaidi. 
haina ulazima wala haja ya kuongea sana,vidole na mikono yako ndo vinatakiwa viwe busy kutomasa,kupapasa na kushikashika sehemu zote zitakazoongeza Raha na Utamu katika tendo.


COWGIRL


Jinsi Ya Kujipanga 
Mwanamke apige magoti juu ya mwanaume usawa wa mashine ya mwanaume(kama inavyoonyesha kwenye picha),then aikalie taratibu,anaweza kupata balance either kwa kuegemea na kuweka mikono yake juu ya kifua cha mwanaume au juu ya magoti ya mwanaume.



Kisha aanze kwenda juu na chini,itafika muda atachoka,badala ya kubadili style au kutulia kidogo kwa sekunde kadhaa(apate nguvu ya kuendelea),inashauriwa utumie muda huo wa kupumzika kidogo(may b sekunde 10 au 15) kwa kumshika shika na kumtomasa mwanaume kifuani, zungusha kiuno taratibu huku ukiongea maneno ya kimahaba sana, endeleeni kufanya hivi mpaka wote mfike kileleni (orgasm), au mkitosheka mnaweza kubadili style.

Faida Za Hii Style. 
Ni style ambayo Mwanamke anakuwa anacontrol kila kitu,yeye ndo anajua ajiweke kwenye angle ipi ili mashine iweze kusugua sehemu zipi ndani ya uke wake ili aweze kufika kileleni kwa urahisi zaidi,ni style ya pekee ambayo inawafanya wanawake wengi wafike kileleni(orgasm) bila matatizo.


Maujanja Ya Ziada.
Raha na Utamu wa hii style utaongezeka zaidi kama mikono ya mwanaume ikiwa busy ikishikashika,ikitomasa na kupapasa makalio,hips,kiuno na sehemu yeyote ambayo anaweza kuifikia kiurahisi


LEAP FROG


Jinsi Ya Kujipanga 
Hii ni Doggy-style iliyoboreshwa,mwanamke akiwa kitandani,ainame halafu hips na makalio yake ainue juu huku mikono na kichwa chake avilaze juu ya mto(kama inavyoonekana kwenye Picha hapo juu),kuna haja jamani ya kusema mwanaume akae wapi? hehehe.


Faida Ya Hii Style 
Hii style inatengeneza mazingira ya kuruhusu mashine ya mwanaume iweze kuingia ndani zaidi kadri apendavyo,na mwanamke anapata nafasi ya kupumzisha kichwa chake juu ya mto(kidogo anarelax huku akienjoy raha na utamu).


Maujanja Ya Ziada 
Ili kuongeza Raha na Utamu zaidi, mwanamke atumie mkono wake kujisugua

BALLET DANCER


Jinsi Ya Kujipanga 
Mwanamke na Mwanaume wote wasimame,kisha Mwanamke ainue mguu wake wa kulia auweke kwenye kiuno cha mwanaume,mwanaume aushikilie mguu wa mwanamke aliouinua ili kumpa balance.

Faida Za Hii Style 
Hii Style inaruhusu na inawapa nafasi ya kuangaliana uso kwa uso huku mkipeana Raha na Utamu kitu ambacho kinasaidia sana kuwaunganisha kihisia na kimwili pia

Maujanja ya Ziada 
Kama mwanamke yupo flexible anaweza kuuweka mguu begani badala ya kiunoni kwa ajili ya kuipa nafasi mashine iingie ndani zaid.

STYLE(staili) ZA KUFANYA MAPENZI NA (mama/mwanamke) MJAMZITO picha

Jinsi ya kufanya mapenzi na mwanamke wakati wa ujauzito
Bila shaka kila aliyeko kwenye mapenzi ana kiu yakufahamu staili mbalimbali atakazotumia katika uwanja wa huba kumpagawisha mwenza wake, kimsingi kuna staili nyingi sana ijapokuwa nyingi huhitaji wapendanao wawe wanasarakasiyaani wawe wepesi wa viungo.
Leo nitazungumzia staili MBILI ambazo mwanamke mjamzito anaweza kutumia na mwenza wake wakiwa katika huba na kumfanya afurahie tendo la ndoa na

UMUHIMU WA MAZOEZI KWA MWANAMKE MJAMZITO.

Leo tutaongelea mazoezi gani ya kawaida ambayo mama mjamzito anaweza kuendelea kuyafanya kila siku ya ujauzito wake na umuhimu wake.

Mazoezi wakati wa ujauzito yanasaidia:
Kupata usingizi mzuri usiku.
Kuondoa stress
Kulegeza na kunyoosha misuli ya uzazi na kuitayarisha kwa kazi ya kujifungua
Kupunguza kichefu chefu(morning sickness) na kiungulia(heartburn)

KUMBUKA:
Wakati unafanya mazoezi hakikisha kuwa husikii maumivi yoyote na ukipatwa na maumivu hakikisha unaonana na daktari haraka iwezekanavyo. Kumbuka usilalie mgongo wakati wa kufanya mazoezi au usifanye mazoezi aina ya jogging(kukimbia) au kuruka ruka(bouncing) na hakikisha mdundo wa moyo(pulse) na temperature yako ya mwili ziko sawa. Kunwya maji mengi kuzuia dehydration na angalia balance yako iko sawa ili kuzuia kuanguka.

Kama ulikuwa unafanya

SULUHISHOéTIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Ukweli ni kwamba ndoa nyingi za Kikristo zinavunjika kutokana na tatizo hili. Je, hakuna haja ya kuitisha mjadala wa kitaifa? Taifa letu linaangamia kwa kukosa maarifa.

Hivi upungufu wa nguvu za kiume ni nini? Kifupi ni mwanamume kutokuwa na uwezo wa kutoa mbegu bora zenye uwezo wa kutungisha mimba, au kutosimama kwa uume.

Takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa asilimia 60 ya wanandoa nchini wanakabiliwa tatizo hili. Kwa hiyo, mabango ya waganga yaliyopo barabarani hayajapunguza kabisa tatizo hilo.

Hawa watu wanatibu watu au

MADHARA SABA KWA WANAUME WAOPENDA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

Leo tunageuza shilingi upande wa pili kuelezea madhara ya kuruka ukuta (kufanya ngono kinyume cha maumbile), baada ya kuona madhara ya wanawake kurukwa na nini kifanyike.

Wanaume wengi walinilaumu na kuniona sitendi haki kwa kuwaelezea wanawake tu wakati mchezo huwa una athari kwa mtenda na mtendewa.

Kama nilivyoelezea kwenye mada za wiki kadhaa zilizopita, mchezo huu unatumika sana katika mapenzi ya sasa, watoto wa mjini wana usemi wao kwa kitu kilichovuma kuwa ‘ndiyo habari ya mjini’.

Mchezo huu umekuwa ukipendwa sana na wanaume wengi ambao wengi wao huwa hawatumii kinga na kusababisha wengi kupata magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).

Lakini mchezo wa kuruka ukuta umekuwa na madhara makubwa sana kwa wanaume wanaoufanya kwa muda mrefu.

Tulipoangalia upande wa wanawake, tuliona sehemu kubwa ya wanaopenda mchezo huu ni wanaume ambao wengine wamebatizwa majina ya ‘basha’, wakimaanisha mwanaume mpenda kuruka ukuta bila kuangalia ni wa mwanaume mwenzake au wa mwanamke.

Kwa vile nia ya kona hii ni kuelimisha madhara ya mtu kupenda kuruka

MAMBO 6 YAKUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI

Mara nyingi wengi wetu tumekuwa katika mahusiano na wapenzi wetu lakini hali sio kama ile ya awali wakati mnaanza mapenzi yenu.  Wanawake wengi wanalalamika kuwa  hawaoni upendo ule waliouzoea zamani wakati mapenzi yanaanza. Hata wanaume wengine wanalalamika pia kuwa penzi limeteremka kiwango baina yao.
Mara zote hushuka huku kwa ukaribu (intimacy) hakupangiliwi au kutazamiwa bali huja taratibu pasipo wapenzi kutambua, mara lugha hubadilika,  muda wakuwa pamoja hupungua, mambo huanza kufanywa kwa mazoea, vilivyo zoeleka kufanyika havionekani tena na taratibu hali hii ikikomaa huathiri hata tendo la ndoa. Katika hatua hii, wapenzi huanza kuchokana na kutotamaniana, hapa ndio kwenye upenyo wa mmoja au wote ku

PUNYETO NI NINI? NINI FAIDA NA HASARA ZA KUPIGA PUNYETO wanaume

Punyeto Ni nini? 

Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. 


Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya

KAZI YA KISUNZU/MZUZU KATIKA KUPEANA RAHA KIMAPENZI

Kisunzu ni ndevu za kwenye kidevu chini kidogo ya lips zako kama zinavyoonekana kwenye picha hapo.

Watu wengi huzifuga kwaajili ya fashion tu, ila kuna wachache wanaojua

MADHARA YA KUANGALIA VIDEO/PIVHA ZA NGONO

Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono, siwezi kukataa mimi mwenyewe huwa naangalia mara mojamoja.


Ila kutokana na reserch yangu niliyoifanya kiholela nimegundua kwa kiasi fulani zina madhara nakuelezea kama ifuatavyo.

KUNYONYA DENDA kumpiga denda mwenza wako

Unajua utamu wa denda???Nakujuza sasa

Nitashindwa kukuelewa wewe ambaye mnaanza tu kukukuruka na mpenzio au mkeo/mumeo bila hichi kitu 'denda' au french kiss

Bwana asikwambie mtu denda lina raha

SEHEMU ZA KUMSHIKA MWANAUME WAKATI WA TENDO LA NDOA zitakazo MSISIMUA ZAIDI NA KUMPANDISHA NYEGE KWA HARAKA MWANAUME

Zifuatazo ni sehemu kuu tatu (3) zenye msisimko katika mwili wa mwanaume:

                                       1. SEHEMU YA KWANZA: Kw

JINSI YA KUNYONYA MBOO KIUFUNDI

Kila mwanaume atakubaliana na mimi kwamba kunyonywa mboo ni starehe nzuri sana ambayo kila mwanaume huipenda na kuitamani
.
Kwa dada zangu ngoja niwamegee dondoo tatu (3) tu lakini ni muhimu sana kuzijua kama unapenda kumpagawisha mpenzi wako kwa kumnyonya mboo  kwa ufasaha

Jinsi ya Kumridhisha Mwanamke Kimapenzi: Mambo matano (5) anayohitaji Mwanamke kutoka kwa Mwanaume

Wanaume hatimaye kutambua kwamba hawapo peke yao kitandani na kwamba kumridhisha mwanamke ni muhimu katika kudumisha uhusiano wa kimapenzi! Kuchukua hii kutoka kwangu  nawaambieni, haya mambo matano yakitekelezwa kwa ufasaha,
 yatafanya mwanamke wako achanganyikiwe zaidi kila saa!

  1. Wanataka uwe

SEHEMU 12 ZA KUMSHIKA MWANAMKE WAKATI WA TENDO LA NDOA +PICHA

1. MIDOMO YAKE.
Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu).


2. UKE NA

Saturday

KUKAUKA KWA UKE WAKATI WA TENDO

Swala la kukauka kwa uke mara baada ya mwanake kufika kileleni ni la kwaida kwa wanawake wengi na huwa na sababu mbali mbali ambazo mimi nitakutajia kwa kifupi tu kamaifuatavyo:-
 


1-Mwanamke huitaji

MAPENZI MATAMU SANA....MDADA FAHAMU NJIA 18 ZA "KUMSHIKA" KIDUME YEYOTE ULIMWENGUNI...!

I was single once, but now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka baba watoto sawa na mpaka leo hii sijawahi kuhisi wala kugundua kwamba anatoka nje ya ndoa yetu, japo matatizo ya hapa na pale hayakosekani ila tumedumu na bado tunaendelea na safari
.
Unapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au

Thursday

Kanisaliti na kuzaa x2 na vibaba 2 tofauti....ataka tufunge Ndoa


Habari za siku nyingi Dada mpendwa. Natumaini Mungu bado anakulinda. Na afya yako inazidi imarika kwa neema ya Mungu.

Dada mpendwa mimi niko katika hali ya sintofahamu, naamini kwako ntapata uvumbuzi.

Miaka ya nyuma nilikuwa naishi Bujumbura, nikaanza kupendana na Binti flani. Kwa vile nilikuwa na soma ilinibidi nitoke kidogo ili kujianda kwa ajili ya Mtihani mkuu. Nilipo rudi nikakuta yule Binti ana Mimba ya mwanaume mwingine!

Tangu apo mawasiliano yakakoma. Alipo jifunguwa baadaye akaniomba msamaha nakuhitaji turudiliane tena, nikamsamehe nakurudiliana naye kimapenzi!

Baada ya muda Binti uyo akaitwa na kakaye huko Afrika ya kusini(South Africa) ili aende kusoma na kuniacha Bujumbura!

Alivyofika huko mawasiliano yetu yakaendelea lakini baada ya muda yakazimika kwamba simu yake ikawa haipatikani!


Jinsi muda ulivyokuwa unakwenda na mimi nikajaaliwa kwenda Africa ya Kusini(South Africa). Siku moja nilipokea simu ya yule mwana dada niliyekuwa napendana naye bila kujuwa amepata wapi namba yangu ya Simu!


Huku akiniomba turudiane tena wakati alishazaa mtoto mwingine na mwanaume mwingine Afrika ya Kusini(South Africa)!
Na amewahi ishi na huyo Baba mtoto kama mumewe. Ila kwa bahati mbaya hawakuweza elewana wakaachana.

Mimi binafsi sikuwa namfikiria tena na nilikuwa tayari nilisha pendana na Binti mwinhine ambaye nilikuwa na tarajia kuowa tangu nilipofika Afrika ya Kusini(South Africa). Ila bahati mbaya huyo Binti nilie tarajia kuowa naye kaniotea meno ya juu na mapenzi ya mimi naye yakaisha!

Kwavile nilikuwa katika mahitaji ya kuowa ukizingatia nilie tarajia kuoana naye kaniotea meno ya juu, basi nilikuwa sina jinsi, nilikubali kumsamehe nakurudiliana na yule mpenzi wangu wa zamani ambaye kwa sasa ana watoto wa wili.

Mwana dada huyo ameniomba tuwe mke na mume (tuowane) tusameheane na kusahau yalio pita.

Kwa kweli na mimi najihisi kumpenda, licha ya disappointments. Pia amekubali kunisaidia katika mpango wangu wakusoma kwavile yeye anafanya byashara na anauwezo kunizidi.

Sasa mimi nina wasiwasi kwa sababu amesha nisaliti mara mbili na kuzaa watoto wawili na wanaume tofauti! Huwa nahisi huenda akajakunisaliti tena baada ya kumpa moyo wangu na kumchukua kama mke wangu.

Kwa kweli Dada mpendwa nahisi kumpenda nakuwa tayari kumuowa huyo mwana dada licha ya disappointments zilizo tokea na watoto wawili anao sasa!

Ila nazungumuza na nafsi yangu ya kwamba nisisubutu kumkabidhi moyo wangu hadi pale ntakapo ona mapenzi ya dhati kwake.

Mimi sina mtoto wala sijawahi kucheat. Dada mpendwa je ni busara kwangu kuowa huyo mwana dada?

Nini hasa kinaweza nipata kwa siku za usoni? Tafadhali Dada yangu mpendwa naitaji ushauri kwa hali na mali ili nisije kujutia baadaye. Asante kwa msaada wako Mungu akujali.

*********

Dinah anasema: Ni njema kabisa kaka Mpendwa, ahsante kwa ushirikiano.

Huyo mkimama ni mapepe. Sio mwanamke wa kuishi nae kwa kumuamini kama mkeo sio tu kwa vile anawatoto wawili bali jinsi alivyowapata hao watoto wake.


Mara zote anakuterekeza halafu anaenda na mkibaba mwingine na kuzaa.....logically unadhani anafaa kuwa mkeo?



Mke/Mume ni mshiriki wako wa kudumu anaepaswa kukuoenda, kukuheshimu na kukuthamini, kuku-support na kukushauri sio kukimbi kwa wanaume/ wanawake wengine kila unapokuwa mbali au kila likapotokea tatizo.



Anatumia "mali" ili akupate kirahisi.....anajua unahitaji la kusimama huko SA pia anajua unahitaji la kuoa baada ya kutolea nje last minute na Moyo wako bado haujapona vema hivyo Kisaikolojia na Kihisia haupo sawa.


Hali hiyo inaweza kukufanya uingie kwenye ndoa au uhusiano ili kujirudishia ile hali ya kujiamini tena baada ya kuachwa. Hali ya kuhisi kuwa unapendwa baada ya uliempenda kuingia mtini.



Ukiachilia mbali hali yako Kihisia na Kisaikolojia.....je ni kweli kabisaaaaa upo tayari kuishi ukiwa unasikia kuhusu Exes na kuona (watoto) wao waliozaliwa baada ya huyo mkimama kukusaliti?


Ingeleta unafuu kwa mbali kama aliwazaa hao watoto kabla hamjakutana japo sio rahisi kuishi na mtu ambae ex zake wanahusika kwenye mahusiano na maamuzi yenu kwenye maisha yenu yote yaliyobaki.



Mf: Ex kamuudhi mkeo kutokana na mtoto wao.....mkeo anakununia au kukufokea wewe na mengine mengi.....trust me ni mzigo.


Fact of life(usinihukumu Maisha magumu bana): Sasa kama upo Single Kaka yangu na unahitaji msaada alioku-offer chukua lakini hakikisha humpi Mimba na wala hakutegeshei kushika Mimba na usionyeshe kuwa unataka sana mtoto(jifanye 2 alionao wanatosha) na kubwa lao USIFUNGE NAE NDOA.


Jiwekee mipango inayokwenda na muda kwamba ndani ya miaka miwili nitakuwa nimemaliza Masomo au nimesimama Kibiashara (hakikisha haimuhisishi yeye) Ukikamilisha mipango yako achana nae.


Ni vema kumwambia ukweli kuwa 2 kids ni hell of Mzingo na huwezi kuwa wanakupa kumbukumbu mbaya kila ukifikiria walivyopatikana.



Atakulaumu umemtumia nakadhalika.....ungekuwa kwenye Uhusiano ningekushauri vinginevyo.

Kila la kheri.

Monday

Utajuaje kama unadanganywa?


Kiufupi nilikuwa ktk mahusiano na mdada mwanzoni tulipendana sana nilijitolea kwa mengi katika umoja wetu.


Sasa alianza kubadilika kitabia kiujumla akawa hanijali, msili, hana muda na mimi, ahitaji ushirikiano na mimi.



Ikafika kipindi nikaanza kuhisi nasalitiwa lakiji nilimvumilia. Sasa nahitaji kujua je huyu Dada ni mkweli kwangu na ananipenda au? maana kuwa karibu na mimi imekuwa shida au tunakuwa tunagombna sana.




Nikiwa nahitaji kujua kitu kuhusu yeye lazima tuishie kugombana. Sasa hivi imefika mwaka tupo kwenye mahusiano lakini simuelewi.

Sijawahi kufanya nae mapenzi nae nahisi hiyo ndio sababu ya kufanya haya yote na aliniambia yeye ni Bikra.


Pia napenda kujua sifa za Bikra au utatambuaje msichana ulienae ni Bikra au la! na utajuaje kuwa unadanganywa au la!

***********

Dinah anasema: Hello there. Ahante kwa ushirikiano.

Umri wa uhusiano wenu ni mdogo sana kujua kama mtu kabadilika. Nadhani hajabadilika isipokuwa hana hisia alizokuwa nazo kwako mlipoamua kuwa pamoja.


Nimeondoa sehemu ya maelezo yako ili kukuachia a bit of privacy. Umri wa binti huyo ni mdogo kwa yeye kujua atakacho kutokankwenye uhusiano. Bado yupo kwenye kipindi cha mpito cha kujifunza ujinsia wake.

Anapata hisia za kutaka kuwa karibu na mwanaume na kuna kuwa na wengi wanavutiwa nae na hivyo anashindwa kujua wapjnpa kwenda na ku commite......hii haina maana kuwa analala nao la hasha....bali wanakuwa kichwani na hivyo kumhuia vigumu kufanya uamuzi.

Wanaume wengi kumtaka inampa hali ya kujiamini na haoni tatizo kuachana na wewe kwani kuna foleni.


Sasa unapokuwa too demanding na kuanza ku act as if umemuoa au kama Baba au Kaka yake ndio matatizo yanapoibuka.

Anahitaji kuwa huru anapokuwa nje ya nyumbani ambako kuna wafuatiliaji (Baba na Kaka)......sasa kama hapati uhuru kutoka kwako ni wazi atatafuta namna ya kuachana na wewe.

Kama bado unataka kuwa na uhusiano huu basi unahitaji kubadilika......badilisha tabia yako ya kuwa too demanding na ku act kama mume kwake wakati sio mume na pengine hutokuwa mume wake.


Sidhani kama kuyofanya nae mapenzi ndio sababu ya yeye kuwa hivyo alivyo. Nadhani tabia zako kwake ndio zinamsogeza mbali nawe. Kuwa mpenzi na sio Baba au kaka.....punguza maswali na upunguze kumfuatilia.


Kujua kama mtu anakudanganya ni rahisi ikiwa unajua kuitumia sixth sense yako. Pia kama umeishi na mtu huyo kwa muda ambao ni zaidi ya miaka 2. Hii ni kwasababu mtu unaeishi nae hawezi kuigiza kwa miaka 3.....lazima atachoka na kuvua Wasifu.


Baadhi ya watu huingiza kwa muda mrefu ili kupata watakacho au zaidi mpaka wakaipate.



Utamjuaje kama ni Bikira? Well hakuna njia zaidi ya kumuamijk kuwa hajawahi kushiriki tendo. Siku ya siku ikifika rudi kwangu uniamjie ilivyokuwa then nitakuambia kama ni mara ya kwanza kwake au siku ya kwanza na wewe.


Nia na madhumuni ya Uhusiano wa kimapenzi ni kukubalibali kuwa na mtu umpendae na kufurahia umoja wenu.



Ikiwa kwenye umoja huo hakuna furaha na unadhani hakuna namna ya kuipata furaha baada ya mazunhumzo na mabadilikonkadhaa basi ni vema kutoka na kuanza upya.

Kila la kheri.

Tuesday

Kazaa na kuolewa kisa Umbali.....nipo radhi kurudiana.

Nimatumaini yangu humzima dada dinah pole na kazi unayoifanya ya kutuelimisha.
Mm nikijana ninae ishi Mbeya.


Nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda kidogo. Nilikuwa ninampenzi wangu ambaye nimekuwa nae zaidi ya miaka 2 huyu mpenzi wangu alikuwaga rafiki yangu toka utotoni na ukweli tulikuwa tunapendana sana.



Na tulikuwa tunamipango mizuri kama wapenzi na nilikuwa kwenye mipango ya kumtambulisha nyumbani kwetu kwa wazazi wangu japo nyumbani wazazi walikuwa wakimfahamu.



Sasa huyu mwenzangu alihitaji kujiendeleza kimasomo na kweli alipata Chuo, kwenda kusoma kwa mwaka mmoja kwahiyo Morogoro ambapo alikuwa anaishi na nduguzake.


Mahusiano yetu yaliendelea vizuri huku tukiwa tunawasiliana na tulikaa mwaka mzima bila yakuonana. Tulijitahidi kuonana lakini fedha ilikuwa kikwazo kwasababu ya umbali hivyo tukakubaliana amalize masomo yake atakapo rudi tutaonana.




Kama unavyojua mkisha kuwa mbali na hasa wapenzi kukorofishana kupo. Kuna kipindi tulipishana na hatukuwasiliana ndani ya mwezi mmoja ila tulikuja kupatana tukaendelea kama kawaida.



Kumbe ktk kipindi ambacho tulipishana na mwenzangu yeye alipata mwanaume mwingine ambaye alimpa Mimba na kipindi tunasameehana alikuwa tayari ana Mimba na ukweli alinieleza



Sasa huyo jamaa aliye mpa Mimba alikuja akamuoa huyo binti na mpaka sasa amejifungua mtoto. Lakini tatizo lililopo kwangu huyu mwanamke muda wote amekuwa akiwasiliana na mimi na amekuwa akiniambia bado ananipenda na hata mimi moyo wangu bado unamuhitaji.



Alikubali kuolewa kwasababu ya ile Mimba maana kuna kipindi alitaka kuitoa ili aendelee kuwa na mimi ila mimi nilimsihi asifanye hivyo.

Naomba ushauri wako dada dinah mimi bado na mpenda huyu mwanamke hata yeye ananipenda na yupo tayari kumuacha huyo mumewe.

************

Dinah anasema: Mungu anabariki na ahsante kwa ushirikiano.

Kwanza napenda ufahamu kuwa mwanamke hapewi Mimba bali anashiriki kwa hiari yake tendo ambalo matokeo yake ni mimba.


Sio kama mwanamke alimfuata na Mimba kisha akambebesha bali mbegu za jamaa na yai lake ndio Mimba so hakupewa Mimba na bali kashika Mimba. Hilo moja.



Pili....kuna uwezekano mkubwa kuwa aliahidiwa kwenda huko ili akasomeshwe na huyo mkibaba.....kumbuka umesema hukuwa na pesa hata za kufanya mawasiliano.



Kutokana na mahesabu yangu ya ghafla hapa sio rahisi kwa mtu kwenda mahali kusoma na ndani ya mwaka mmoja kushika mimba na kuolewa....ni wazi kulikuwa na kauhusiano kasiko rasmi lakini serious na huyo mjamaa hata kama ulikuwa ule wa Internet sijui whasaap bin facebook na walipokutana ikawa kama wamejuana kwa miaka kadhaa.....uaicheze na Power of mawasiliano ya Kimtandao.



Huyo mwanamke hakuolewa kwa sababu ya Mimba.....alishika mimba kwa vile hakutumia Kinga na ameolewa kwasababu alitaka hiyo Ndoa.



Maana kama kweli Mimba ilimfanya aolewe ni wazi hakutaka kulea mtoto bila baba yake.....sasa jiulize kwanini leo akuambie kuwa yupo tayari kuiacha ndoa ili aje kuwa na wewe halafu na wewe uamini?



Najua unampenda au unahisi kuwa unampenda kwasababu katika umri wako niliouficha ni wazi kuwa unahitaji kusafisha macho a bit more kabla haujajua kama ulipenda huyo Binti au unadhani kuwa ulimpenda.


Umekwisha sema pesa ilikuwa kikwazo sasa je ukirudiana na huyo mwanamke na mzigo wake ambao ni mtoto utakuwa tayari kumsaidia kumlea mtoto huyo in terms of pesa? Au utakuwa fine mwanaume mwenzio kukusaidia kumtunza mpenzio.....Maana watoto ni gharama.


Je? Unampango gani na huyo mwanamke.....unataka tu uhusiano wa nakupenda tangu enzi au unamalengo mengine huko mbele Ndoa ikiwa moja wapo.



Usijekubali aache ndoa aje kwako kisha siku yakimshinda kwako au usipomtimizia mahitaji ya mwanae akulaumu kwa kumharibia maisha yake na mwanae.



Nadhani ni vema kukubali tu kuwa hakuna future kati yako na huyo mkimama.

Poteza mawasiliano yale na wewe go out a bit more ukapate penzi la kweli kutoka kwa mtu mwenye kukuthamini jila kujali umbali au kipato.




Akiendelea kukufuatafuata mwambie ungependa kuanza fresh bila kuhofia mtoto wa mwanaume mwingine ulietereza nae nje ya uhusiano wetu.


Ka cheat.....kashika Mimba na kaolewa na huyo alieCheat nae bado unataka kurudiana nae?

Wacha kujishusha chini zaidi ya tumbo la Nyoka......jirudishie heshima na kujiamino kwa KUSONGA MBELE BILA YEYE.

Kila la kheri.

Thursday

Mjeuri...hataki nifulia nguo. Nimekosea kumuacha

Dada Dinah habari yako, Mimi naitwa G nina umri wa miaka 25, Tumeachana na mke wangu sasa yapata mwezi mmoja na tuna mtoto mmoja wa kiume ana umri wa mwaka na miezi mitatu.



Kutokana na tabia yake ya ukorofi, ubinafsi na ujeuri na akapata mashoga majirani ambao tabia zao sio nzuri, ilifuka kipindi akabadilika.



Akawa hataki hata kunifulia nguo zangu ila alikua anapenda sana kufanya mapenzi yaani ana nyege sijawahi kuona kila siku tulikua tunafanya mapenzi hata mara nne.



Tabia yake ikanishinda alivyoanza kubadilika na ikabidi nimwache akaenda kwa dada yake Morogoro sasa naskia anafanya kazi bar huko Morogoro.

Nampenda ila moyo wangu umekua mgumu kwake yaani hata sijui nifanyaje na maisha ya kule magumu na kwenda kwao hataki.

Naomba ushauri dada yangu.Mimi naishi Dar es salaam.

************

Dinah anasema: Habari ni njema mkibaba. Shukurani kwa ushirikiano.


Unaacha mke kwa sababu zinazorekebishika(za kizembe)......halafu utamuachaje mke kimtaani hivyo. Au ulimfukuza bila Talaka?



Kama ulivyokwenda kwao na kumposa na ukakubaliwa na hatimae kumuoa.....ndivyo ulivyotakiwa kufanya ila tofauti this time ungekuwa unamrudisha KWAO.



Binti wa watu akipatwa na la kupatwa huko kwa dada yake ambako sio kwao utashitakiwa na Wazazi wake kwa kosa la kumterekeza mtoto wao na kusababisha usumbufu na maisha ya taabu au hata kifo ikitokea bahati mbaya.



Mtu hawezi tu kukurupuka na kuanza kuwa mkorofi au mjeuri......lazima kuna kitu kinasababisha mkeo kuwa na tabia hizo kama kisasi kwavile hawezi kukupiga na hajui kuwakilisha issues zinazomkera kwao.



Baadhi ya wanawake huamua kuwa kama mkeo ili kufikisha ujumbe kwasababu sio kila mwanamke anajua namna ya kuwakilisha kero kwa mumewe.



So atakuwa mjeuri au mkorofi akitarajia wewe mumewe kumuweja chini na kwa panoja mzungumze na pengine wewe kujirekebisha ili yeye asiwe na tabia hizo.


Ikiwa wewe unaumri huo ni wazi mkeo ni mdogo zaidi.....yupo kwenye stage ya kujitambua na kutengeneza marafiki ni sehemu ya kujifunza na kujitambua.


Ikiwa majirani wanatabia mbaya ambazo wewe huzipendi hilo litakuwa tatizo lako. Huenda mkeo alirafikiana nao kwa sababu za kufahamiana na kuongea kama majirani na sio kuiga tabia zao.

Suala la yeye kugoma kukugulia nguo sio sababu kuu ya yeye kuwa mkeo. Yeye alikubali kuwa mkeo kwasababu anakupenda na alitaka penzi lenu linawiri mkiwa pamoja kila siku.


Kwenye ndoa kuna mengi muhimu na kufuliwa nguo sio muhimu. Akiona kuwa ni muhimh kukufulia anapofua zake au za mtoto sawa.....vinginevyo fua mwenyewe.


Kulea mtoto 24hr sio kazi rahisi na juu ya hilo bado kuna shughuli nyingine zinahitaji nguvu na focus ya mkeo.....bila kupewa ushirikiano mkeo atahisi kutokujaaliwa, kutengwa, kutokupendwa au kulemewa na kazi zote za nyumbani plus mtoto.



Mwanamke anapoanza kuhisi hivyo huwa mkali au mjeuri kwa sababu akilini mwake anahisi kuwa humpendi na humjali kwasababu tu kazaa.....pia huoni au kuthamini chochote anachokifanya incl kukugulia.....huonyeshi shukurani.


Mkeo alihitaji ushirikiano na wewe kumuelewa lakini badala yale umemtimua......unadhani nani mbinafsi?


Kungonoana ni afya.....yeye kuhitaji ngono zaidi hakuna uhusiano na urafiki wake na majirani wenye tabia mbaya. Ni muda tu umefika baada ya kuvuka mwaka tangu ajifungue.


Umesema unampenda....hilo ndio muhimu. Angekuwa katoka nje ya ndoa yenu na kumuacha chap chap ningekuunga mkono.


Sasa fanya mpango wa kuwasiliana nae na kutafuta uwezekano wa kuzungumzia issue yenu na kutafuta muafaka.


Kilichotokea kati yenu sio kikuu cha kukufanya umuache mkeo haraka hivyo bila hata kujaribu mazungumzo kwa kujali mahitaji ya mtoto kihisia.

Kila la kheri.

Monday

Nilitaka pasipo....

Hello Dinah,

Shaka message hii itakufikia ukiwa salama wa salimini. Napenda nitangulize samahani kwa kuchukua muda wako, lakini pia naomba unipe nafasi ya kusikiliza tatizo langu ambalo nina imani utanisaidia ki ushauri!.


Ni tatizo ambalo lilinitokea miaka 28 iliyopita ingawa kwa wakati huo kulikuwa na sababu ya msingi kiasilia na likapita kwa kuwa liliendana na wakati wake!.



Mimi ni kijana wa miaka 39, nimeoa na nina watoto 3. Mimi na mke wangu tuna miaka 15 ya ndoa sasa. Wakati wa ujana wangu kabla sijaoa nilikuwa na vigezo fulani vya nje na ndani kwa mwanamke ninapenda kuoa.




Lakini pia nikajiwekea nadhiri kuwa kama nitampatia mimba mwanamke wa ujana wangu sina budi kumuoa kwa kuwa kama nimeridhika kushiriki naye tendo la ndoa nimempenda!.




Nikija kwenye tatizo nililogusia hapo juu. Wakati nabalehe nilipatwa na ugonjwa wa kupenda kama sio kutamani iliyonipelekea kujihisi naumwa homa, kukosa hamu ya kula huku nikihisi njaa sana.Tatizo hili nilipoendelea kukua lilitoweka.



Sasa ni hivi karibuni nilipokutana na mwanamke mmoja(mke wa mtu)ambaye kwa macho yangu ana vigezo vyote vya nje nilivyokuwa nimejiwekea ujanani!. Nilihisi mapigo kwenda kasi lakini nikaamua kuuchuna.




Tulipokuwa kwenye mazungumzo ya kawaida tulibadilishana namba za simu, kumbe naye alikuwa amepatwa na yale yaliyo nipata wakati tunaonana kwa mara ya kwanza.



Baada ya muda fulani tulianzisha uhusiano wa kimapenzi wa siri, mapezi yetu haya tumekuwa tukiyafurahia ajabu tunapokuta.


Sasa mimi nimekuwa nikijiuliza kwa nini napatwa na hii hali ya kama vile ndio nina balehe!? Yaani kukosa hamu ya kula nisipo muona kwa siku kadhaa, kujisikia kuumwa, kumfikiria sana nk.



Hali hii inaniathiri hata kushindwa kuchangamka na watoto wangu kama kawaida. Hii hali nitaishinda vipi wakati nipo katikati ya bahari siwezi kwenda mbele wala kurudi nyuma? Nisaidie dada Dinah tafadhari.

Nategemea kusikia machache kutoka kwako ni mimi. KPM


***********

Dinah anasema: Hello.....bila ya samahani. Ahsante kwa ushirikiano.

Hehehehe nahisi unaogopa Uzee. Miaka 40 sio uzee mwenyewe naisujiria kwa hamu hapa.(still nina hasira na wewe kwa kuumiza watoto).


Inasemekana kuwa watu wakikaribia kufika miaka 40 huanza kujisikia kama walivyokuwa na miaka 20.....mwili unataka kizunguuko mingi ambayo pengine mke hawezi kuitoa kwasababu ama yupo busy na watoto au anajihisi kuwa kungonoka sio muhimu tena bali future ya watoto in your case mnao 3.



Bila kuwa wazi kwa mkeo kuhusu hisia zako ni wazi utaishia kutafuta mbadala ili kutimiza haja zako. Sasa suburi mkeo afikie hapo ulipo ndio utakapojua tamu ya chungu.



Sio kila mtu anajua suala hili la miaka 40.....baadhi huamini kuwa wanapepo lakini ni mabadiliko tu ya kibaiolojia.



Kufanya ngono na kusababisha Mimba which ndio sababu kuu ya kungokoka sio mapenzi na haimaajishi kupenda. Ulijidanganya na matokeo yake umeleta watoto 3 Duniani ili wateseke......wakose mapenzi ya Baba kwa sababu nafasi yao imechukuliwa na hawara ambae ni mke wa mty.


.....ulitakiwa kujua kosa lako kabla ya kupoteza muda wa mkeo kwa miaka 15 na kukongoroa mwili wake kwa kukuzalia watoto 3. Vilevile kama kweli ulijua mama wa watoto wako 3 sio "type" yako hukupaswa kuendelea kuzaa past mtoto mmoja.



Cheating haina excuses....na excuse yako hapa hainifanyi nikuonee huruma wala kukuelewa. Huyo mwanamke unaetoka nae ni mke wa mtu ni wazi kuwa ni Malaya na hana heshima kwenye ndoa yake kama wewe.

Since unaonyesha kutokutaka kuendelea na huyo mwanamke ni wazi umegundua value ya familia yako.


Kumbuka kuwa wewe upo kwenye control. Ulienda mwenyewe kwa huyo mwanamke.....hakukushika shati na kukuvuta so jirudishie control hiyo na acha Uzinzi.


Ukiendelea kufanya siri ni wazi kuwa utaendelea na cheating. So ni vema kumueleza mkeo ulichokifanya ili aache kukuamini hali itakayokusaidia kwani atakuwa akikufuatilia......kabla hujamwambia soma hapo chini. Ukishamsogeza karibu ndio umwambie ili kuepuka uwezekano wa kukutaliki.



Unakaribia umri wa miaka 40.....wanao 3 wanakuhitaji zaidi kuliko huyo mkimama. Jiulize ni legacy gani utawaachia wanao?



Update uhusiajo wenu kila mwaka ili moto uendelee.....weka effort kwenye ndoa yako na uanze kustarehe na mkeo.


Kama sio kawaida yako mkeo atashtuka....mueleze unavyojisikia na pamoja msaidiane. Hali hiyo itakyishia by the time umegonga 40 au 42. So imagine kupoteza familia yako ya miaka 15 kwa ajili ya hisia za miaka 2.


Kapime HIV.....ilinde familia yako....ipende....itukuze.

Thursday

Acha wivu kwani nilipokuoa ulikuwa na Bikira


Dada D, nachukua nafasi hii kukupongeza kwa kuwa umekuwa una jibu maswali mbali mbali kwa ufasaha sana. Kuna mambo mawili napenda kukuuliza


i)nafasi ya bikira kwenye kuoa. Je Mwanamme akioa binti asiyekuwa na bikira anakuwa ameoa mke wa mwenzie?



Baba mmoja alikuwa anaugomvi na mkewe tatizo ilikuwa wivu, mwanamke alikuwa anataka kujua ameongea na nani? mbona anafuta msg kwenye simu yake ndo jamaa akamwamwambia mkewe kuwa kwani wakati nakuoa ulikuwa na Bikira? Mbona una kuwa na wivu wa kijinga?



Je kuoa binti asiyekuwa na Bikira inaathari gani ndani ya ndoa.

***************

Dinah anasema: duh! Huyo mume mtu lazma atakuwa anatereza nje ya ndoa yake na kumkashifu mkewe ni sehemu ya kuzuia mkewe asiendelee kumfuatilia kwa kuogopa kukashifiwa tena.


Hapo Kisaikolojia mke ata back off akijiona mwenye "makosa" kwa kuolewa bila Bikira.


Nafasi ya mwanamke kwenye ndoa ni ileile iwe aliolewa akiwa bikira au hakuwa nayo.


Hapana! Ikiwa hujagunga ndoa na bikira haina maana umeoa mke au mume wa mwenzio. Ili mtu awe mke au mume wa mtu ni lazima taratibu fulani zifuatwe na ubikira sio moja wapo (unless bado unaishi 1900). Kisheria ukilaa na mkibaba au mkimama kwa miaka miwili inahesabiwa kama ndoa.


Kungonoka ni muhimu, ni tendo la kuunganisha viungo vya uzazi....by doing so sio kugunga ndoa.
****************


ii)Kuna haja gani kwenda honey moon wakati mmeshazaa mtoto na wengine watoto wawili. Au ni kwenda kuteketeza pesa, tafadhali nitoe ushamba ka sio uluga luga.

kazi njema.

***************

Dinah anasema: Unless bado tunaishi miaka ya 1900 ambapo Fungate ilimaanisha siku 7 za kuzoeshana endiketa.....kutoana Bikira na pengine kushika mimba.



Siku hizi Fungate ni uamuzi wa mtu baada ya kufunga ndoa. Wengi wanachukilia kama mapumziko maana watu wamefanya maandalizi ya sherehe za ndoa kuwa complicated na kujaa mastress .....kwamba badala ya kurudi Kazini siku moja baada ya kufunga ndoa unataka ukapumzike.....thank God vikao vimeiaha badala ya halleluja nina mke/mume.




Wengine mpaka leo tumezaa watoto wawili bado hatujaenda Fungate......sasa kwani muda ulikuwepo? Tulikuwa busy na kazi na maisha matokeo yake tukaamua kuzaa na maisha yamekuwa busier kuliko so honeymoon is out of the window.



Kama pesa ni zao wanandoa wacha waziteketeze kwani wamezifanyoa kazi lakini kama ni za michango aka za kuomba nadhani hata mimi sitopendezwa.

Natumaini nimekujibu kama ulivyotarajia.

Asante kwa ushirikiano.

Tuesday

Copy and Paste hii


Imekuwa kawaida kwa baadhi ya  Blogger KUIBA kazi zangu na kufanya zao kwa kuongeza picha au kubadili kichwa cha habari.




Kwa miaka Saba blog yangu inamashabiki na wapenzi hivyo wanapoona kazi yangu imetumiwa kwingine huja kunitonya.




Nimekuwa nikidharau kwa muda wote huo na wakati mwingine kufurahi kuwa kazi yangu inapendwa mpaka wengine kuikopi na kuipesti au kuanzisha Blog ili kublog post zangu za miaka ya nyuma kama zao.




Mwaka huu sitaki ujinga tena. Nitafanya kila liwezekanalo kuhakilisha post zinazoibwa Mwaka huu zinaondolewa kwenye blog husika na Google.





Hii tabia ilinifanya nipungize kutoa Masomo mara kwa mara kwasababu mijitu haitoi Credit kwangu au hata kuweka link ya Blog yangu kama kielelezo cha wapi wametoa maelezo husika......ni lwasababu wanataka ionekane wao ndio wajuzi.





Niandikayo yanatokana na uzoefu wangu binafsi kama mwanamke wa Kabila fulani......hivyo sio kila mtu atakuwa na uzoefu uleule hata kama anayoka kabila moja na mimi.




Najaribu kufanya Mawasiliano na Google as well third parties ili wanisaidie kutatua  issue hii.
Ahsante kwa uvumilivu na endelea kuniyonya kila unapoona maelezo ya Dinahicious kwenye blog.....forum....social media n.k.



Shukurani kwa ushirikiano na uvumilivu.

Thursday

Chanzo cha Nyumba ndogo.

Dada habari za Kazi? kwa muda nimekuwa na maswali mengi, juu ya chanzo cha michepuko katika jamii.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 35, ni baba mwenye mke mmoja na watoto wawili wa kiume.





Nimebahatika kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha, Lakini nimegundua sehemu kubwa ya wanaopangishiwa ni wadada ambao ni nyumba ndogo.





Inakuwa kama sehemu ya kuja kuwaficha, wengine hata kazi hawana wanawategemea wanaume wao. Nimegundua wakati wa kwenda kudai kodi yangu, nikaambiwa na majirani mwenyewe haishi hapo anakuja mchana na kuondoka.






Kwenye appartment sita, wapangaji 4 nimekuta wanaishi style ya kihivyo. Kwa kweli nimejiuliza nini chanzo cha nyumba ndogo hasa. naomba usitoe jina langu.
*************







Dinah anasema: Njema tu mkibaba. Ahsante kwa ushirikiano.
Nakumbuka niliwahi kulizungumzia hili miaka 7 iliyopita wakati naanza kublog.







Kuna sababu nyingi za watu kuwa na nyumba ndogo na moja kuu ni kutokuwa na mapenzi ya dhati na ukosefu wa nidhamu kwa mke au mume wako na kutojali hisia za watoto.





Sababu nyingine ni ndoa za kulazimishwa/ lazimika kwamba unaoa au kuolewa kwasababu Imani yako ya Dini inakulazimu kufanya hivyo au unahisi umri umekwenda na hutaki kuzeeka bila mtoto au mke/mume.







Ndoa za kutaka Makaratasi(Uraia kwa wanaoishi nchi za watu), kutaka mali so mtu anafunga ndoa bila mapenzi bali circumstances.
Huwezi ishi maisha yako yote kwenye ndoa bila mapenzi.





Ipo siku utamdondokea mtu kimapenzi lakini hutotaka kutoka kwenye ndoa kwasababu ukitoka unaharibu mambo mengine yaliyosababisha ufunge ndoa in first place.






Hivyo mtu anakaa kwenye ndoa kama status lakini mapenzi yanakuwa kwingine.
Baadhi ni kuingia kwenye ndoa wakiwa bado hawajamaliza "ujana"  yaani hawapo tayari ku-commite kwa mtu mmoja au ni umalaya wa mtu tu.





Wengine ni kutoridhika/tamaa, ego kwa baadhi ya wanaume, ulimbukeni na kujaribu ku fit in.





Kukata tamaa kwa baadhi ya wanawake na kukubali ku-share mwanaume na mwanamke anaemjua hivyo kudhani mwanaume alioko kwenye ndoa ndio mtulivu kuliko vijana, kwamba akiwa na mume wa mtu anajua akitoka kwake anakwenda kwa mkewe na sio kwingine.....which is sad.






Sababu nyingine ni walioko kwenye ndoa kung'ang'ania ndoa mbaya au za mateso wakiamini kuwa ndoa zao zimepangwa na Mungu na hivyo ipo siku Mungu atambadilisha mwenza wake na atarudi kwake.






Mara zote nasisitiza kuwa usikimbilie kufunga ndoa kwa sababu nyingine bali mapenzi.
Na kwa mkimama angalau olewa na mtu mwingine sio yule aliyekutoa Bikira kwasababu ukiingia kwenye ndoa ukiamini bikira yako kwake ndio italinda ndoa unajidanganganya.






Mapenzi ya kweli hayaishi wala hayachushi wala kuchosha bali hukua kama siku zinavyokwenda so long mnafanyia kazi uuusiano wenu kwani mapenzi pekee hayaaimamishi ndoa au uhusiano bali kile unachokipokea na kukitoa kwenye ndoa hiyo.







Ndoa ni zaidi ya Bikira, Ngono, kupikiwa futari na kuzaa. Ndoa inahitaji mambo mengi mno na baadhi nimekwisha yagusia kwenye blog hii.



Nadhani kwa leo niishie hapa.

Tuesday

Mume mlevi na anakisukari....

Da Dinah pole sana na majukumu ya kusaidia shida za watu mbalimbali. Mimi ni mpenzi sana wa blog yako.



Ni mama wa mtoto mmoja nilifunga ndoa miaka sita iliyopita na Elimu ya chuo ila bado sijaajiriwa nafanya ujasiliamali.



Miaka minne iliyopita tuliishi maisha ya furaha sana na mume wangu, tulikuwa watu wenye hofu ya Mungu.


Ikatokea mume wangu akaamishwa kazi kutoka tulipokuwa tunaishi so tukakaa mbali mbali kwa mda wa miaka miwili. Ndani ya mda huo mume wangu akaanza kuwa mlevi na mvutaji wa sigara kupita kiasi.



Hata akija nyumbani kusalimia hurudi saa tisa usiku akiwa chakari na kuanza kunitukana.


Alianza kujiskia vibaya kiafya na baada ya kwenda kupima akakutwa na sukari na akazuiliwa kunywa na kuvuta.


Kwa sasa nimemfuata tuko pamoja ila tabia yake inaniumiza sana ya kuchelewa kurudi nyumbani na akiwa amelewa na kuvuta sana sigara.



Nimekuwa sio mtu wa furaha tena kila siku ni stress na pia anawivu sana kiasi kwamba ananihisi vibaya wakati yeye ndio alikuwa mwanaume wangu wa kwanza na sijawahi kumsaliti hata siku moja.



Mara nyingine nawaza sijui niondoke maana sioni tena raha ya mapenzi da Dinah please nahitaji msaada nifanyeje maana anaahidi kuacha ila kila siku kasi inaongezeka.

*************

Dinah anasema: Ahsante mrembo na shukurani sana kwa ushirikiano.

Unajua binadamu hupenda ku-adopt mazingira mageni ili kuweza ku-fit in.....hii tuwatokea watu wengi tu hata mimi ni mmoja wao ila tofauti ni kwamba ninajijua so huwa natulia na kujikumbusha mimi ni nani na sihitaji ku fit in bali kuwa mimi as an individual.



Wengine huanza ulevi kama mumeo, baadhi huibua tambia za ajabu ajabu au za kitoto, wengi huamua kuacha familia zao na kuanza maisha upya (wakipandishwa vyeo) na wachache hutumia pesa kiholela.


Nahisi kuwa mumeo alikuwa akipata shida kuwa mbali na familia yake akakutana na wafanyakazi wenzake wenye tabia aliyoi-adopt na akaizoea na mazoea yakajenga tabia.


Kumbuka mumeo hakuwa na mahali pa kwenda baada ya kazi kama alivyozoea kabla ya kuhamishwa.....kwani alikuwa anarudi kwako mkewe na mtoto, huko mbali ilimuia vigumu....nadhani.


Sitetei ulevi wake ila najaribu kukufanya uelewe kuwa huenda uhamisho na upweke umepelekea awe na tabia aliuonayo.



Baada ya kugundulika kuwa anakisukari na hataki kufuata ushauri aa Daktari wa kuacha pombe na sigara ni wazi kuwa anataka kufa kabla ya wakati wake(anajiua).


Kabla hajafa kuna matatizo mengine ambayo yatabadilisha maisha yenu kutokana na ugonjwa wake huo na bila kuwa na mke supportive hakika maisha yatakuwa magumu.



Tafuta muda uzungumze kwa hisia na mumeo (akiwa hajalewa)na kuweka wazi hofu yako juu ya Ugonjwa wake na tabia yake ya kurudi usiku wa manane akiwa chakari.



Kisha mpige mkwara......mwambie wazi kuwa kama mkewe unalojukumu la kuhakikisha anakula vizuri na anafuata masharti ya Daktari ili kuweza kuepuka madhara makuu ya Kisukari.


Ongeza.... Lakini unanikatisha tamaa na nisingependa kuanza kuuguza au kuwa mjane ningali kijana kwa sababu za kujitakia.




Endelea, imefikia mahali nahisi pombe au unaokunywa nao ni muhimu kwako kuliko mimi na mwanetu.....unatumia muda mwingi na wao ukiwa huna pombe.....ukirudi nyumbani unapombe kichwani!



Sikutambui tena kwani mume wangu hakuwa hivi.....mume wangu hakuwa mlevi na mume wangu hakuwa akirudi nyumbani kesho yake......nimemkumbuka mume wangu namtaka mume wangu!(toa na machozi hapa....lia haswa).



Usipo acha pombe na kubadilisha tabia na kurudi kuwa mume wangu niliyekupenda bila pombe basi nitabeba mwanangu na nitaondoka nikuache ujifie peke yako. Nakupa wiki ubadilike.



Mumeo anahitaji support kutokana na Kisukari chake....sio big deal ila watu tunapokea magonjwa ya kudumu tofauti hivyo basi wakati umempa Mkwara na muda anza kuonyesha support ya Kisukari chake kwenye lishe unayomtayarishia.


Mkumbushe kila kwa wakati, hakikishs kila mlo iuna matunda na mboga za majani nyingi kuliko wanga na nyama.


Anywe maji zaidi na asitumie sukari kabisa au atafute mbadala n.k.

Asipobadilika baada ya mwezi tangu umpige mkwara basi hamishia kesi kwa aliewafungisha ndoa na wazazi wenu.

Natumai maelezo haya yatakusaidia kwenye kufanya maamuzi yenye busara.

Kila la kheri.

Thursday

He cheated X4 with same kimama


hello dada Dinah.
Mimi ni msichana wa miaka 26, nina mpenzi wangu nampenda sana ila ame cheat na sio mara moja.

Nimekaa nae muda wa mwaka na nusu. Mara ya kwanza tulipendana sana na sikuhisi kitu nampenda mno nae ananipenda sana huyu kijana na ni wa umri wangu.

Siku moja nikawa niko kwake na laptop yake naangalia movie yeye hayupo....mara nikaingia kwa file la camera nikakuta videos kama 4. Kufungua video moja ni yeye yupo anafanya mapenzi na mwanamke pale ndani kwake kitandani anajirekodi kwa kutumia laptop.



Nilipanic sana nka save zile videos. Mwanamke simjui ila anaonekana Malaya tu jinsi ananyoonekana. Alivyorudi nikamuonyesha..akalia na kukiri ni shetani.....nkaondoka kama baada ya muda na kuomba msamaha nikasamehe.




Ila dada Dinah ishapita miezi kama minne ila kila mara nakumbuka ile video na nakosa raha, nakosa hamu ya kufanya nae mapenzi, nakosa raha kabisaa.



Najaribu ila nimeshindwa kusahau namuangalia na kuumia sana kwanini anifanyie hivo
baaadae kabisa nkaja kujua huyo dada wa video ni bar maid.


Nkampigia Simu basi akasema ye keshatembea na huyu mwanaume wangu mara nne na anampa pesa, yeye anafanya tu biashara maisha magumu.


Inauma zaidi kua sio mara moja tu kalala nae ila mara nne anasema kaka alimuambia mimi siishi pale ndani ni wa kuja nakuondoka tu coz aliona nguo zangu na viatu na vitu wakati ukweli ni kwamba naishi nae pale ila nlikua nasafiri kikazi siku mbili au tatu ndio akamleta usiku.



Dada dinah hata kwenye video anafanya nae mapenzi hata hajavaa kondomu, nliogopa sana juu ya afya yangu lakini
nampenda sana nae anadai ananipenda japo ana mapungufu.



Tatizo ni kwamba nlikuta bado anampigia huyo barmaid tena usiku, nkamuuliza we mbona unawasiliana nae na nikakuuliza unawasiliana? akanidanganya eti rafiki ake ndio alikua anataka kuongea na huyo barmaid.


Dada Dinah sina uaminifu tena, nasahau week moja afu nakumbuka tena kila kitu naumia. Nataka huyu ndio awe mume wangu na tuko steji za kupanga ndoa sasa nifanyaje?

Confused, nampenda sana ila hilo ndio tatizo naomba unisaidie nifanyaje.

Nashindwa kuamua natamani hata ningeondoka hiyo mwaka jana nlivoona hiyo video ila muda huu nimesamehe ila ipo kichwani yaani nahisi kama kila muda ana cheat tu.

***************

Dinah anasema: Hiya mrembo pole kwa maumivu ya moyo na maaumbuko ya akili.....mapenzi matamu ukimpata akupendae zaidi ya umpendavyo vinginevyo ni shida bin taabu.


Mie huwa nashindwa kuelewa kinachowafanya watu kusamehe mtu alietereza nje......hilo kosa halisameheki na hakuna excuses ku justfy Umalaya wake na akome kumsingizia Shetani kwa maamuzi yake machafu.


Mtu akiku cheat kamwe huwezi kusahau so ukisema umemsamehe ni wazi kuwa unajidanganya.


Cheaters hukimbii kulia na kuomba msamaha kama sehemu ya ku jitter na ku baki kwenye control.....kwamaana kwamba ukimsamehe hutoweza kuzungumzia uchafu wake tena.....umemsamehe so yameisha. ..sijui unanipata?


Na ukisha samehe cheater kwa mara ya kwanza.....utaendelea kusamehe tu na yeye anaendelea ku cheat kwa vile anajua "mapungufu" yako yalipo ambayo ni kumpenda kupindukia wakati yeye hana mapenzi kwako.



Huyo mwanaume hana mapenzi, utu, heshima na hajui thamani yako kwahiyo hakufai so achana na " nataka awe mume wangu"....hawezi kuwa mumeo unless unataka kuishi unavyoishi maisha yako yote yaliyobaki bila kujua furaha na raha ya kuishi na mwanaume.


Mwanaume anafanya mapenzi na mtu kitandani kwetu na kutunza kumbukumbu ya video kitu kinachoashiria hataki kusahau halafu bado unataka awe mumeo? Really?


Akitoka nenda kachukue kilicho chako hapo kwetu au mwachie (ikiwa havina thamani) kisha sepa bila kumwambia.....Hata akikutafuta usimwambie kwanini umeachana nae na poteza mawasiliano yake.


Sio mara zote tuna achana na wapenzi tukiwa hatuwapendi....tunatoka kwenye uhusiano tukiwa tunawapenda na ndio mana huwa inauma sana.....Lakini kutokana na issues zisizovumilika inabidi kuanza upya bila yeye.


Ukijipa nafasi ya kulia (kuomboleza) na kukubali mwisho basi unasonga mbele kama ifuatavyo.

Kuna topic ya jinsi ya ku songa mbele nadhani niliandika 2014...ipi tie.


Ni binti mdogo na mrembo, kuwa Imara na songs mbele bila yeye kwani ana kupoteza muda wa kukutana na mwanaume mwema na mwenye mapenzi ya dhati.

Kila la kheri.

Wednesday

Naomba radhi.......

Habari za leo?

Ni kwamba kikompyuta changu kimegoma ku-start kwa muda sasa. Nimejaribu kutumia ufundi wangu imeshindikana so nimeipeleka kwa fundi.



Sasa inanibidi nitumie simu ambayo inanisumbua sana kwenye ku type na inabidi nifanye editing kutokana na kuchapia in which sina muda na hii inafanya nishindwe ku publish kama nipendavyo.




Kama ulivyoshuhudia  mechapia  vya kutosha kwenye post mbili zilizopita is just too much....naomba  radhi na tafadhali endelea kuwa mvumilivu.



Nitajitahidi kujibu swali moja wiki hii halafu nitatoa somo ambalo mtalifurahia kama wapenzi.


Usikose....na ahsante kwa kuachana blog hii.

Monday

Nahisi kanichoka!


Habari yako dada dinah!! pole kwa majukumu, dada mimi ni msichana wa miaka 27 nina mpenzi wangu ambaye tupo kwenye mahusiano kwa muda wa miaka sita sasa na tuna mtoto wa miaka mitatu.

Bado hatujaoana kwani  tunasoma na tulianza mahusiano wakati mimi nipo mwaka wa kwanza chuo na yeye mwaka wa pili.Tunasoma nje ya nchi ila mtoto yupo Tanzania analelewa na wazazi wangu.

Dada tangu tumeanza mahusiano mpenzi wangu alikuwa ananipenda saana na kunijali na nilivyojifungua pia aliendelea kunipenda.

Tulikuwa tukifanya kila kitu pamoja na tulishirikishana kila jambo,tulishea pass words za kila kitu,fecbuk,emails  nk!!

Mwaka jana akapeleka barua ya Posa kwetu! TatIzo langu ni kuwa mimi ni  mkorofi halafu nina wivu mnoo...yani kipindi chote hiko cha mahusiano yetu siku akichelewa kurudi tuu(maana tuna appartment huwa tunakaa pamoja kwa baadhi ya siku kwasababu tunaishi mikoa tofauti) hata simuulizi namvamia na maneno na some times nafanya fujo kabisa!

Nikiona kawasiliana na mwanamke zaidi ya mara mbili nafanya fujo! Yaan kanivumilia mnoo!ila nampenda na baada ya kufanya hivyo huwa najirudi nayeye ananieleza ukweli basi najiona mjinga then tunaendelea na maisha.

Ila tabia yangu siachi akifanya kingine naarudia!! yaani huwa nafanya fujo,nampiga na glass, navunja simu zake n.k ila ananibembeleza tunakaa sawa.
   

Sasa this time naona amechoka wa na visa vyangu maana december niligundua ananichit, ikaniuma sana na nikampigia huyo msichana akaniambia kweli yupo na mahusiano na mpenzi wangu na wana kama mwezi mmoja!(na huyo msichana ni malaya sana na yasemekana ameathirika sema mpenzi wangu hajui hizo story maana mpenzi wangu sio mtu wa kujichanganya na watu hivyo habari nyingi za mtaani mpaka mi nimpe). 

Then nikarudi kwa mpenzi nikafanya fujo kama kawaida but akanituliza na kuniomba msamaha, akasema ananipenda na hana fyucha na huyo dada sema alifanya hivyo maana nimezidi visa na ujeuri na imefika kipindi simpi mapenzi.

Akachukua simu akamcall yule dada kumwambia its over na akamtext whatsup kumueleza kuwa ana mpenzi wake anaomba waachane!

Alifanya yote  hayo mbele yangu na akambock koote! ila pamoja na yote hayo mimi nikawa nasindwa kumuamini kama kamuacha japo nikishika simu zake sioni kitu.

Alijitahidi kunionyesha ameacha but mimi wapi, nilimwambia nilimsamehe but moyoni nilikuwa naumia. Ikawa nikipiga simu asipo pokea on time naanza ugomvi, nikienda apartment akachelewa kurudi nafanya fujo tena za ajabu!

Akaniambia sasa hivi tusikutane nikae kwangu mpaka hasira ziishe ila bado nikawa nampigia kelele hunipendi ndomana waniambia nikae kwangu.

Nikakaa kwangu kama wiki huku twawasiliana na kugombana! juzi kanambia niende kule tumefurahi but usiku alilala nikashika simu yake ili nione kama anaendelea na yule dada. Sikukuta vya yule dada bali nilukuta meseji ya mwanamke mwingine akimlalamikia mpenzi wangu kuwa ahamini kama anampenda maana hakuna kitu chochote wanachofanya pamoja!(mesej ni ya tar 19 januar na yule dada wa kwanza tulisolve 23 dec) nikapiga ile namba kwa simu ya mpenzi wangu, akapokea huyo dada mwingine.

Yaani nilichanganyikiwa!! nikamwambia mpenzi wangu akasema hakuna chochote bali panic zangu tuu, nikaanza kumfokea akaniambia this time ananipiga maana nimezidi ujinga!!

Tukapigana hadi basi, mpenzi wangu akaondoka akaniacha appartment na hatukutafutana but usiku nilimcall akasema hawezi rudi mpaka mimi niondoke maana yeye ana mitihani(anafanya medicine huku ni miaka 7) amechoka fujo zangu anataka asome maana mimi sijielewi!!

Na kuhusu matatizo yetu akipata muda huko mbele atakuja mkoani kwangu tuongee kwa sasa anaomba asome!!
 

Kwahiyo dada nahisi mpenzi kanichoka na mimi nampenda saaana na yeye ananipenda ila ndio tumefikia hapo, je nifanyeje?

Amenichit kwa wanawake wawili ndani ya muda mfupi!!na huko nyuma hakuwa hivyo kabisaa!!

Tafadhali nishauri cha kufanya!! tulipanga ndoa tufunge mwaka huu, maana mimi ndo namaliza masters yangu mwezi wa pili.
Ahsante sana, nasubiri ushauri wako wako maana nahisi kuchanganyikiwa.

***************

Dinah anasema: Habari ni njema mrembo, shukurani kwa ushirikiano




Tabia yako ni mbaya na ulipaswa kuachana au kujirwkebisha kitambo. Unaweza kuwa na wivu sawa kwani ni suna  lakini kuwa agressive na violent  sio vema.




Pamoja na tabia yako mbaya bado sio sababu ya mpenzi wako kutereza nje ya uhusiano wenu mara zote hizo.





Mpenzi wako anatumia ''kasoro yako '' kitabia ku justify Umalaya wake na kwasababu anajua kuwa unajua kuwa Unatatizo hilo basi inakufanya rahisi kwake  kufanya makosa na kukusukumia wewe kuwa ndio umesababisha awe hivyo.




Mtu chake,  hata mimi huoji mume wangu kwanini anaongea na baadhi ya wanawake au wanaume.(si wameoa au wapenzi ambayo ni wanawake eti hihihi) Bibi alinambiaaaa usiamini mwezi wako kwa asilimia zote Mia, achia nafasi ya Wivu kwani bila wivu hakuna mapenzi.




Moving on.........Acha kuomba msamaha na kujiona mkosaji, mchumba wako ndio mkosaji mkuu na ameonyesha kiburi na kutojali kwa kusema atakuja huko kwako kuzungumzia issue iliyojitokeza.....basala ya ku sort out kabla ukweli haujapindishwa na kupoteza makali ya issue husika.




Angekuwa anajali na kujutia makosa yake ya kuku cheat na kukupiga( hakupaswa kukupiga au kupigana na wewe bali kukuzuia usiwe too agressive na kupiga).




Huyu mpezi wako huenda amekuzoea, anapenda the idea of ''nina uhusisno mzuri na mama mtoto wangu'' lakini hana mapenzi kwako na ikiwa yapo mapenzi basi  haoni thamani yako kwake na inamuhuwia vigumu kukuheshimu.





Pia uhusiano wenu unamapungufu ya mawasiliano, hamzungumzii uhusiano wenu ikiwa ni pamoja na mawazo ya kila siku mpaka mmoja afanye kosa ndio mmoja wenu a nazungumzia kuhusu kinachomkwaza.



Uhusiano ni kama kazi ofisini, kuna issue basi unaitwa na kuambiwa umekosea wapi na ujorekebishe vipi......boss akikaa kimya mpaka mteja aje kulalamika ni wazima unaweza kupoteza kazi.....sijui naeleweka?



Ushauri wangu kwako ni kuachana nae kwa muda alioomba kujiandaa na mitihani na akimaliza angalia kama atakuja kama alivyoahidi.




Tumia muda huu kujifunza namna ya kuzuia unapohisi hasira. Unaweza ku soma dua/sala kila unapojisikia ku exprode  pia omba msaada professionally kuhusu tatizo lako. Inategemea upo nchi gani ila natambua Ulaya inapatikana widely.




Oh nenda kaangalie afya ili kujua kama hujakopeswa HIV......hili lilikuwa la kwanza sema nimeputiwa.

Wengine wataongezea, kila la kheri.

Tuesday

Mume wa Ndoa, kaikataa Mimba!

"Ni mume wangu wa Ndoa na tumezaa mtoto mmoja mwenye mwaka, nimeshika Ujauzito tena wenye mwezi na nusu lakini Mume wangu kaukataa kwasababu nimechelewa kumuambia.







***********





Dinah anasema: Hello there! Hawezi kukurupuka tu na kuikataa Mimba wakati wewe ni Mkewe na mnafanya Ngono bila Kinga (obviously).













Mumeo nae wa wapi?!! Chini ya Miezi mitatu ni mapema sana kwa baadhi ya wanawake kujua kama wameshika Mimba unless ajipime au akapimwe, Tena baada ya kuzaa ndio kabisaa, maana mabadiliko ya mwili bado hayaja-settle hasa kama ulikuwa unanyonyesha.













Inawezekana kutakuwa na sababu ya kumfanya aikatae Mimba, huenda anatafuta namna ya kukuacha/achana nawe......kabla hatujamjaji hebu nisaidie....Je maisha yenu ya kimapenzi yakoje au yalikuaje kabla hujashtukia una Ujauzito?











Ulipopata ujauzito wa kwanza hali ilikuaje kabla ya tukio? Mlikubaliana mzae au ilikuwa "bahati mbaya" ?











Uchumi wenu ukoje? Je mnaweza kumudu mtoto wa pili? Mlikuwa mnatumia dawa za kuzuia Mimba?









Au labda kuna vijitabia ulivianzisha vinavyomfanya ahisi kuwa Mimba sio yake? Asije kuwa alikutegea kwa kutokukojoa ndani lakini akajifanya kakojoa na wewe bila kujua ukadhani umebeba manii yake.











Bila maelezo kamilifu kwakweli siwezi kusaidia kimawazo. Nahitaji maelezo yakinifu na yaliyojitoshereza.

Mapendo tele kwako...

Monday

Kupenda Attention kwenye Uhusiano.

"Mimi ni mdada wa miaka 30, sijaolewa na wala sina mtoto ila nina mpenzi ambae ndio kwanza tumeanza mahusiano, tuna miezi miwili tu.

Tatizo langu kubwa ni kwamba huyu mwenzangu ni mvivu kuwasiliana yaani kutuma msgs ni mpaka awe ametoka kazini au Mara chache akiwa kazini atatuma msg labda moja au anakaa kimya kabisa.

Pia nikimtumia ananijibu kwa ufupi tu and mara nyingine hajibu labda mpaka usiku kabisa ndio atapiga simu. Sasa Mimi ni mtu ambae napenda "attention" na isitoshe nafanya kazi Mkoani kwahiyo naona kuna ugumu kidogo hapo kwangu.


Kiukweli nampenda na yeye pia anaonesha kunipenda, sasa je nafanyaje juu ya hili suala?


Ina ishu ya Pili je ni mapema sana kuanza kuongelea mambo ya maendeleo Kati yetu? Yeye ni mkimya kidogo kuliko Mimi Kwahiyo pia ni Mzito kidogo kusema kama labda amekwazika kitu Ofisini.

Atasema amekwazika ila hatasema wazi ni nini kimemkwaza labda mpaka niulize sana, hapa pia nahitaji msaada wa namna ya kukabiliana na hii hali da Dinah?

Natanguliza shukrani zangu kwako na kwa wadau wengine.


**********

Dinah anasema: Shukurani kwa ushirikiano.


Unamiaka 30 hivyo nachukulia kuwa mwenzio ni wa umri huo au Mkubwa zaidi. Watu tulio 30+ huwa hatufanyi mambo kama teen au early 20, moja ya mambo yaho ni kupiga siku kila baada ya nusu saa na texts msg kila baada ya dakika 5.


Kwenye umri huo(nilioutaja) tunakuwa na mambo mengine muhimu yanayohitaji muda kuliko kutuma msg au kupiga simu mara kadhaa kwa siku.


Tangu uhusiano wenu bado ni mpya huenda hataki kuonekana "needy" kwako na ikawa sababu ya wewe kumkimbia(baadhi ya wanawake hukimbia needy men kwani wanakua kama Mama na sio Wapenzi kwa wanaume hao).


Sidhani kuwa ni uvivu, inawezekana kabisa ni kutingwa na Kazi....angalau anakukumbuka kabla siku haijaisha au baada ya Kazi hiyo inaonyesha anakujali.

Sote tunapenda "attention" na isipokuwepo au usipopewa na Mpenzi wako hakika utahisi upo "single" kwenye uhusiano na mpweke if that make sense! Mpenzi asipokupa hitaji hilo ni wazi anakudharau au hau-exist....upo tu kama Meza au Kiti (unatumika ukihitajika ila sio muhimu).


Jaribu kuzungumza na mwenzio na kumwambia umuhimu wa ninyi kuwasiliana kutokana na umbali ulipo kati yenu. Hisia za mapenzi pekee hazitoshi kuwafanya muwe karibu wakati kuna umbali kati yenu, mawasiliano ndio yatakayowasogeza na kuwapa ukaribu mnaouhitaji ili kuwa na uhusiano wenye Afya.


Onyesha kuwa simu yake kwako ni muhimu sana kwani inakupa Amani moyoni na kukuondolea hofu ya kama yupo salama au la!

Kubalianeni muda wa kuwasiliana, mf: asubuhi kabla na mara mkifika Kazini....wakati mnatoka na mkifika Nyumbani na kabla hamjalala. (This worked for Us kitamboo kati ya London na Scotland)....so ijaribuni.


Issue ya pili; Ndio ni mapema sana kuanza kuzungumzia masuala ya maendeleo kati yetu, lakini unaweza kuzungumzia masuala ya Kimaendeleo kwa ujumla....hii itamfanya ajue ni mwanamke wa namna gani linapokuja suala la Maendeleo.


Uhusiano ukikomaa ingia full-force na kumtuka kutumia "yetu" (badala ya yangu), "sisi"(badala ya mimi) kwenye mazungumzo yenu ya kimaisha na kimaendeleao.


Nadhani most wanaume huwa sio muongeaji kuhusu changamoto za kazini, hu-prefer kuumia kimya kimya kisha kudharau na kusonga mbele. Wanaume hubadilika wakishafunga ndoa au kuwa kwenye uhusiano na mwanamke kwa muda mrefu na kumuamini.

Kutokana na "umri" wa Uhusiano wenu sio rahisi kwa jamaa kujiachia kwako kwa kila jambo, hapa nadhani kuwa mvumilivu na akiwa comfortable ku-share mambo yake ya kazini na wewe atafanya hivyo.


Pamoja na kusemaa hivyo sio mbaya kuonyesha nia ya kuwepo kwa ajili yake. Always offer kuwa akama anataka kuzungumzia lolote asisite kwani upo pale kwa ajili ya kumpenda na kumsikiliza na kumshauri kama atahitaji.

Kila la kheri!

Mapendo tele kwako...

Pages