Wednesday

Nenda taratibu lakini changamka!



Mara nyingi mwanawake huwa anapenda au kutaka kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na kila kitu kiende sawia kabisa bila matatizo, hii ni kutokana na sababu nyingi tofauti kama vile kuwa mpweke kwa muda mrefu, kuwa na "foleni"ndefu ya mahusiano mafupi na sasa anahisi kuwa wakatiumefika wa kukaa na kutulia na mtu mmoja, uoga wa kuachwa/kuumizwa, kuhisi ameachwa(left out) kwa vile rafiki zake wanawapenzi, kuhisi umri umekwenda n.k.


Haijalishi unauzoefu mbaya au mzuri ktk mahusiano yakimapenzi…unachotakiwa kufanya ni kutuliza akili na kucheza taratibu. Ukichukulia mambo taratibu itakusaidia sana kujua hisia zako juu ya mwenzio na pia kumjua/fahamu huyo mpenzi kabla mambo hayajawa “makini” hali itakayokusaidia kutoumia sana ikiwa atagundua kuwa humfai au wewe kutambua kuwa hayuko vile ulivyotegemea n.k.


Vilevile kwenda kwako taratibu kutamfanya huyo “mpenzi mpya” kuwa “comfortable” na wewe, kwa vile hautokuwa mtu wa kulazimisha mambo yatokee vile unavyotaka……..wanaume wengi hawapendi kuwa “pushed” kwa vile uhisi hawapendwi bali unapenda kufanikisha jambo fulani kama ktk maisha yako na sio kwenye maisha yenu “as a couple”.


Kumbuka kuwa wanaume hutumia uongo mwingi ili “washinde” na wakupate, hivyo kuwa mwangalifu najifunze “kuchuja” maneno/mistari yao wanapokushawishi/tongoza uwe nao, mara nyingi hutoa ahadi nyingi ambazo hu-“sound” kama wanaji-“commite” kwako kabla hata hujawajua vema.


Wewe kama mwanamke unatakiwa kuwa makini, msikivu, mwelevu na mwepesi kuhoji ikiwa utahisi unayoambiwa ni “too much….too soon”, sio macho chini na kila kitu….Ok, haya, sawa, ai wewe……ndio…..wasema kweli mjuba…hihihihi..n.k.……changamka!


Kumbuka kitakacho kufanya umdondokee mtu kimapenzi kabla hata ya kungonoana sio muonekano wake tu (au pesa kwa wengine wazembe-wazembe) bali kumjua kiundani baada ya kuzungumza nae……unapomhoji mwenzio ni rahisi kujua uta-offer nini kwenye uhisiano ili uwe bora na yeye atachangia vipi ili mtoke “pea” nzuri na ya muda mrefu.


Maelezo yake kutokana na maswali yako yatakuwezesha wewe utafakari na kufanya uamuzi wa busara hali kadhalika maswali yako yatamfanya yeye afikiri zaidi ikiwa ni myeyushaji/muongo lakini “anakutaka” basi anaweza kubadili yote aliyosema/ahidi jana kwani kagundua kuwa wewe sio wa kudanganyika…..na akiendelea hamtofika mabli….hii yote nitakuwa imetokana na kuchangamka kwako kwenye kuhoji pale ulipohisi jamaa natoa ahadi kamavile ninyi ni “couple” tayari kumbe ndio kwanza mna-date.


Kumbuka mtu anapoku-“date” haina maana kuwa mko kwenye uhusiano na mara nyingi hushauriwi kufanya ngono ktk kipindi hicho……”date” inaweza kuchukua siku tatu mpaka miezi 4 kabla hujajitolea mwili wako.

Unaswali?

Sunday

Unatarajia nini unapoelekea kwenye uhusiano?





Kuna swala la wanawake kudhani kuwa "ndio imetoka hiyo" yaani ndio milele, mara tu anapoanzisha uhusiano na mwanaume……..

na kwa bahati mbaya wengi huishia “disappointment” na kuwaita wanaume wa kibongo hawana mapenzi ya kweli…….sio hawana mapenzi ya kweli bali wewe ndio ulikuwa na haraka au nyote wawili mlikuwa na haraka na hamjui nini maana halisi ya neno “mapenzi”.


Siku hizi vijana tunaharaka sana ya kufanya mambo ambayo hufanywa kwenye commitment relationships sasa sijui ni maendeleo au ni wanaume kutokuwa wazi pale wanapotaka kuwa na uhusiano fulani na mwanamke?


Napenda utambue kuwa kukutana na mwanaume/mwanamke na kuwa nae na kupena miili yenu haina maana huyo ni uhusiano tayari, uhusiano hujengeka baada ya kutoka na huyo mtu kwa muda fulani minimum miezi kama 3 hivi au zaidi……

Hata kama alikujia na gia ya “nataka uwe mpenzi wangu”…..huwezi ukawa mpenzi ktk siku chache……unahitaji muda kuwa na uhakika na hisia zako.


Unajua zamani watu walipokuwa wakikutana, walikuwa hawakimbilii kungonoana, walikuwa wanaheshimiana na kama ni kukutana basi inakuwa mahali peupe kuepusha vishawishi vya kungoana na hali hiyo iliwawezesha kuvuta muda na kuwa na uhakika na hisia zao kuwa kweli wanapendana.


Na ndio maana wakati huo walikuwa wakiamini (jua) kuwa mwanaume akikupenda kweli basi atavumilia na atakuja kuwaona wazazi na kufunga ndoa na wewe……ndio kungonoka kunafuata.


Tofauti na sasa ambapo tuna swala la ku-date ambapo penzi la huibuka....…kisha tunahamia kwenye Trial (move in together and all) na kuangalia mambo yanavyokwenda….je mnapatana? mnaendana ki-life style, kingono mko sawa n.k.


Alafu ndio penzi la dhati hujengeka vema zaidi kwa vile utakuwa unamjua mwenzio kwa undani na hivyo kufanya uamuzi wa busara kama unaweza kumvumilia na kushi nae maisha yako yote au la.


Natambua kuwa kuna watu wengi (hasa wanawake) wanaendeleza imani kuwa kama mwanaume anakupenda kweli basi atakwenda kujitambulisha kwa wazazi wako na atafunga ndoa na wewe……..


Kutokana na nyakati hizi za mwisho I MEAN SAYANSI YA TEKINOLOJIA a.ka maisha ya kisasa ni wazi kuwa hawajui tofauti ya kupendwa na uamuzi wa kuishi na wewe maisha yake yote na matokeo yake ni disappointment.

Zingatia haya.....
Napenda kukwambia kuwa unapoanza uhusiano na mwanaume chukulia mambo taratibu na usikimbilie kufanya ngono kwani kufanya hivyo automatically kutakufanya udhani kuwa tayari uko kwenye uhusiano,


*Angalia mambo ambayo uta-offer ikiwa utakuwa kwenye uhusiano na sio kutegemea afanye hivi au vile

*Weka 50-50 na sio asilimia mia moja kuwa uhusiano utakuwa kama unavyotaka kwani

*Usitegemee mambo makubwa yafanyike ndani ya uhusiano wako na badala yake acha yatokee yenyewe bila kulazimisha.

*Kuwa wazi na kuyazungumzia yale ambayo ungependa yafanyike ktk maisha yenu ya baadae lakini sio kwa kulazimisha au kununa ikiwa mwenzio anaonyesha kutovutiwa na mazungumzo hayo na badala yake wewe furahia kila siku kama inavyokujia……


* Kumbuka mapenzi ya kweli huchukua muda kujengeka na yakijengeka huwa hayabomoki……hata kama mtaamua kuachana baadae mahaba yataisha lakini penzi siku zote hubaki moyoni.

Nitaendelea……

Tuesday

Mwanamke ni "Victim" 2 & 3!


2-Tumuone mwanamke huyu ktk kuzuia mimba.

Mwanamke siku zote ndie anaeachiwa swala la kuzuia mimba, sote tunafahamu wazi kabisa kuwa matumizi ya madawa haya ya nabadili afya ya mwanamke, yanabadili utaratibu mzima wa kupata damu ya mwezi (hedhi) kwamba kuna baadhi ya wanawake huenda mara mbili hadi tatu kwa mwezi.


Wengine hawaedi kabisa (jiulize damu hiyo inakwenda wapi wakati ni lazima itoke ikiwa yai halijarutubishwa) hali hiyo husababisha mkanganyiko wa chembechembe asilia na hivyo kusababisha SARATANI ndani ya mwili au kutopata mtoto/watoto tena….kila ukipata mimba inachoropoka (inatoka sio kwa kudhamilia) n.k.


Linapokuja swala la kumalizia ndani mwanaume hujitoa kabisa na kusukuma jukumu lakuzuia mimba kwa mwanamke. Natambua kuwa hakuna madawa ya muda mfupi yakuzuia mimba kwa wanaume lakini kuna bidhaa ambayo ikitumiwa vilivyo mimba itazuilika, sasa kwanini bidhaa hii (Condom) isitumike kwa nyote wawili badala ya “kusakizia” mwanamke jukumu hilo as if yeye ndio mhusiaka mkuu wa kupata ujauzito?


Ile tabia au niseme kasumba ya “situmii condom kwa vile inapunguza ukaribu wangu na mke/mpenzi wangu” haina ukweli wowote, kuwa karibu na mpenzi/mkeo wako sio lazima umalizie ndani au ugusanishe ngozi yako ya uume na ngozi yake ya uke kwa ndani!



Kitendo cha wewe kufanya nae mambo mazuri na kwa ufundi yatakayowafikisha kwenye hatua hiyo tayari ni ukaribu, jinsi unavyo zungumza nae, jinsi uanvyomshika, unavyomheshimu, mthamini, unavyo onyesha mapenzi,msikiliza n.k. wakati mnafanya tendo hilo takatifu ndio mambo yatakayo kufanya uwe karibu nae a.k.a “Intimately” na sio kupiga bao ndani.


Mwanaume jaribu kuwa mbunifu na mtundu ktk anga nyingine ili kuwa “Intimate” na mkeo/mpenzi wako zaidi ya nyama 2 nyama ili kuepuka mimba na wakati huo huo kumsaidia huyu mama kulinda afya yake ili asiendelee kuwa “victim” ktk uhusiano wenu.



3-Tumuangalie mwanamke huyu ktk Ufungaji wa kizazi.

Baada yakujipatia watoto Fulani ambao mnadhani kuwa wanawatosha au ndio manaweza kuwamudu na hivyo kufanya uamuzi wa kufunga kizai 4 good ili muweze kufanya mapenzi bila kuhofia mimba/mtoto tena, kama kawaida Mwanamke husukumwa akafunge kizazi.


Mwanamke huyu sina uhakika kama ni kasumba, ujinga, kutokujua, kuwa tegemezi au? Habishi “in good way” wala haulizi/hoji kwanini yeye ndiye anaepaswa kufanya hivyo na sio mumewe/mpenzi wake au wote....waende mguu kwa mguu kwenda kufunga kizazi?.


Mara nyingi (nimeshuhudia kwa masikio yangu) mwanaume anakuja na sababu kama “watoto wakifa kwa ajili au magonjwa na nikataka kuzaa tena nitafanyaje?”…..Ukifa (mke) na nikaoa/kutana na mwanamke mwingine na akataka kuzaa na mimi nitamwambiaje?”…..ikitokea tumeachana (peana talaka) na nikaoa tena nakutaka kuzaa na huyo mwanamke nitafanyaje?”……

Sasa huoni kuwa sababu zako za “kibinafsi” zinamhusu pia mwanake huyo? Hayo yote yakitokea kwake yeye atafanyaje?

Nitashukuru kama nitapata maoni, mawazo, maelezo tofauti kuhusu hili au ukiweza ushauri zaidi kutokana na uzoefu wako……sote tunajifunza na nivema tukiweka mambo wazi ili tujifunze kwa kina zaidi.

Asante sana kwa ushirikiano.

Monday

Mwanamke ni "Victim" bila kujijua!




Leo na-promote Uanamke….

Wiki iliyopita nilikuwa kwenye sherehe za kamuagano (Sendoff) na Kesho yake nikaenda kwenye sherehe za ndoa..….kama mjuavyo penye wengi ndio mahali pa kupata mengi sio?

Nilikuwa nimekaa na wamama Fulani wenye uzoefu mzuri tu ktk maswala ya ndoa, wakitoa ushauri, nasaha, maonyo n.k kwa binti aliyekuwa akienda kuanza maisha mapya ya ndoa ili akawe mke mzuri.

Kama kawaida yangu mimi ni mtu wa kudadisi na kuhoji mambo mengi ila ngono ndio hunivutia zaidi, hivyo nilitaka kujua ngono ikoje kwa wanawake hasa kwenye maisha ya ndoa au niseme ndani ya ndoa.

Wachache walikuwa sio wazi sana kama kawaida ya wabongo wengi hasa watu wazima (nadhani waliona mimi katoto Fulani hivi kumbe ni kamwili tu haka)……nilivyoona wanadengua nikahamia kwa kwa wanawake vijana lakini walio kwenye ndoa na kuuliza tena “wao kama wanawake ngono ikoje ktk maisha ya ndoa?”.


Kila mtu akatoka na majibu yake kutokana na uzoefu wake lakini nilivutiwa na maelezo ya wale ambao waliolewa wakiwa bikira, wale wanaotumia madawa ya kuzuia mimba na wale wanaosukumwa/lazimishwa kufunga kizazi baada ya kupata watoto fulani…….

Nikapata jawabu kuwa wanawake wengi ni “victim” ndani ya ndoa/uhusiano wa kimapenzi bila wenyewe kujijua…..nasema hivyo kwa sababu zifuatazo:-

Akizaliwa ni binti wa mzee Fulani……..Akiolewa anakuwa mke wa Fulani…….Akizaa anakuwa mama Fulani…….alafu akijaaliwa nakuwa bibi fulani anamalizia na swala zima la kukabiliana na kukoma hedhi…..Kila hatua ya maisha yake mwanamke anakabiliana na majukumu lukuki……mwanamke huyu hajawa na nafasi ya kuwa yeye na kufurahia maisha kama yeye bali siku zote za maisha yake amekuwa akiishi kwa ajili ya watu wengine.


*Hebu tumuangalie mwanamke huyu anapofunga ndoa/ingia kwenye uhusiano…..

1)-Mimba usiku wa harusi (usiku wa kutolewa bikira).
-Mwanamke kafunga ndoa akiwa bikira na kwa bahati mbaya au nzuri wanashika mimba usiku huo au wakati wa fungate…….binti huyu hajui lolote kuhusu ngono wala utamu wake….usiku huo anafanywa kwa mara ya kwanza na mume wake anajisikia safi kuwa mkewe hakuguswa na mtu mwingine bali yeye….


Hisia za kumiliki zina mjia na bila kujali maumivu ya binti yule, haki yake ya kupata utamu au kufurahia tendo la ndoa….mume anajimalizia ndani kwa vile tu ni mke wake.

Baada ya miezi 9 mwanamke anajifungua anaanza kukuru kakara za malezi na kukabiliana na mabadiliko kutoka msichana kuwa mama…..mabadiliko haya huwa ni magumu sana as u can imagine.

Kwa vile mwanamke huyu hajui lolote kuhusu ngono na hakuwahi kufundishwa au ambiwa lolote hukusu maswala yamwili yeye anachukulia au kuamini kuwa kilichofanyika au kinachofanyika ni kawaida……binti anahisi kuwa labda anakasoro kwani akikumbuka huko nyuma aliwahi kusoma, sikia, kuambiwa kuwa ukifanya mapenzi unasikia utamu au raha…..au anaona mumewe anavyofurahia….lakini masikini yeye haijui na wala hajawahi pupate utamu huo.

Mwanamke anashindwa ku-share na watu wengine kwa vile anadhani hiyo issue ni nyeti sana na ni kinyume na maadili ya kitanzania au mila na destru za kwao…..hivyo maisha yanaendelea na watoto wanaongezeka hali inayoongeza mabadiliko ktk mwili wake na sasa kila unapofanya mapenzi yeye ni kilio tu kutokana na maumivu (kwa vile hapati hamu ya kungonoana wala utamu wake) hali hiyo inamfanya mwanamke huyu amkwepe mumewe kwa kutafuta sababu nyingine……..


Mwanamke anaenda kulalamika kwa Daktari wake wa Magonjwa ya kike na anafanyiwa vipimo inagundulika kuwa mwanamke huyu anaelekea kwenye kukoma hedhi au kikomo cha hedhi (Menopause) kwa mwanamke huyu wa kibongo aliye ndani ya bongo kupata hamu au utamu wa kungonoana ndio inakuwa basi tena……na she is only 40yrs old.


*Ofcoz huwezi kutegemea binti wa watu bikira awe akitumia madawa ya kuzuia mimba au akujie na Condom ili azuie mimba…….wewe kama mwanaume chukua jukumu la kujizuia ili usimtie mimba binti wa watu ambe hajui chochote kuhusu unachokifanya……


Hili halitokei kwa Bikira tu bali kuna wale wanawake ambo walibakwa hivyo kisha wakaja funga ndoa, wapo walijiingiza kwenye maswala ya ngono wote wakiwa bikira hivyo hawakujifunza kitu, vilevile wapo waliokuwa kwenye uhusiano na wanaume ambao hawajali hisia za mwanamke bali tama zao za mwili….nakadhalika!



***********************************************
Waendesha "Kitchen party"......tumieni wasaa huo kuwa wazi zaidi na kuwaeleza/andaa hao watarajiwa watarajie nini ktk maisha yao ya ndoa, jinsi ya kukabiliana baada ya kujifungua......sio mnashupalia jinsi ya kumfurahisha, heshimu, pika mahanjumati, kuwa sexy (pendeza na kuvutia @all times) na kum-keep mume......there are more than hayo in any relationship.....kumbukeni kuwa mwanamke anabadilika jinsi miaka inavyokwenda.....huyo binti anahitaji kulijua hilo kwa undani zaidi.


Wapenzi wanaume.......jaribuni kuvuta muda na mshirikishe mwanamke umpendae kwenye swala zima la kuzaa…..pangeni na muelewane mzae baada ya muda gani…..ondoa “umilikikaji” kumbuka huyo ni mkeo lakini pia ni mpenzi wako……mpe nafasi ya kuujua mwili wake kabla haujabadilika.


Kaka zangu hebu chukua jukumu la kuzuia mimba badala ya kumuachia mwanamke, kumbuka kuwa yeye mayai yake hayatoki lakini mbegu zako zinatoka na kumuingia kwenda kujenga kiumbe hivyo wewe ndio mwenye ku-control hilo na sio yeye.

Ni vema kujadiliana au kujua kama mkeo/mpenzi wako yuko tayari kukabiliana na mabadiliko yanayohusisha uzazi, kumbuka kuwa kuoa au kuwa na mpenzi sio tiketi ya kum-mimba mwenzio (cum inside).


Wanawake.......ambao mnaamini kuwa kupata mimba au kuzaa na Fulani basi ndio utapendwa zaidi au kutoachwa…… nakushauri uache huo Ujinga na Ushamba…..


Only Kubali kushika mimba ikiwa unadhani kuwa ndio kitu unachokitaka, hakikisha unajua faida, hasara, matatizo ya mimba mpaka kujifungua na baada ya kujifungua, kuwa na uhakika kuwa utakuwa tayari kukabiliana na yote hayo.


Epuka kukimbilia kuzaa/achia mimba kwa vile jamii inakukandamiza/sukuma, mtaani kwenu kila binti anamtoto, unahofia jamii kukudhania kuwa wewe ni tasa, ili wakwe wakupende zaidi, ili mwanaume/mume asikuache au aendeleze huduma kiuchumi n.k.....


Sikutishi….bali nakwambia ukweli kuwa kushika mimba maana yake ni mabadiliko…….je unauhakika uko tayari?


Tuende na wakati sio ktk mikao na mitindo ya kufanya ngono tu bali kila kitu kinachoendana na ngono na matokeo yake......tujaribu kuwa Taifa lenye vijana wajanja ei!.....sio tunapelekwa pelekwa na kasumba za kizembe.


Endelea kuwepo ili nimalizie vipingele 2 vilivyobaki….

Thursday

Inakuwaje Mkifunga ndoa?


Mnaacha matumizi ya kondom ili kuzuia mimba na magonjwa mengine ya zinaa ambayo sio lazima yatokane na kufanya ngono holela/ovyo na watutofauti bali yanajitokeza kutokana na mkanganyiko wa vimelea (cells) hasa kwa upande wa wanawake?

Tujadili hili.....

Kisha nitakuja na maelezo ya kina ambayo kwa namnamoja au nyingine yatakusaidia au kukupa mwanga ktk maamuzi yako na mwili wako(hasa mwanamke).
ty.

Tuesday

Zeze on kuktk

shamim a.k.a Zeze said...
Samahanini ni kazi zilibana tu sasa wacha niwape somo kujifunza kukatika kila siku au kila upatapo muda kaa kitandani lala chali kwa kutumia kiuno chako chora namba 1...2...3....4...5....6 hadi 10 mwanzoni itakuwa ngumu so waweza anza kwa kuchora namba 1-4 baada ya hapo kiuno chenyewe kitakuwa chepesi kiasi kwanza hata ukibeba mzigo juu kitakuwa kinaendatry this then mlete feed back hapahapa kwa mama malavidadavi
2:48:00 PM

Sunday

Kukata kiuno...."basic"


Nakumbuka nilipokuwa mdogo kabla hata sijaanza shule kila jioni tulikuwa tukikusanywa nakuimbiwa nyimbo fulani za Mwinamila na kulazimika kukata viuno, usipokata kiuno hakuna kuadithiwa hadithi usiku chini ya mbala mwezi (aah utoto raha sana).

Nilipokuwa binti mkubwa nikawa naambiwa kuwa usipofanya mzoenzi ya kukata kiuno utakuja kupata taabu pale nitakapo olewa ikiwana maana kwamba unazungusha kiuno kwa ajili ya bwana.

Lakani mimi leo nawapa "basic" ya mauno sio kwa ajili ya kuwanufaisha wanaume zenu bali kuwasaidia ninyi kufurahia wakati wa kufanya mapenzi/ngono.


Kwanza anza na kulizoesha tumbolako kabla hujahamia kiunoni au kwenye hips. Sote tunatambua kuwa tumbo ni moja ya sehemu inavutia kama ilivyo makalio, miguu n.k. hasa kama tumbo hilo ni kama langu (dogo )hahahaha.



Haya tuanze zoezi basi ili usije shitua utumbona makorokoro mengine pale utakapo kurupuka na kuanza kuzunguusha kiuno chako.



1-Simama wima(ukiwa uchi mbele ya kioo ndio it'll work better), weka mikono yako hapo tumboni alafu sukuma tumbo lako mbele (litunishe) baki hivyo kwa muda kisha lirudishe kwa ndani na ubaki tena hivyo kwa muda. Rudia kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo na kumbuka kubana pumzi huku mdomo ukiwa wazi (itasaidia kukaza misuli ya tumbo pia), kubadilisha mirindimo (polepole, haraka, chap-chap, kugandisha n.k) mpaka utakapo hizi tumbo lako linatetema/tikisika (yaani vibrating).

Msingi wa kukata kiuno

Kama nilivyosema awali, simama wima najishike kiunoni(kuhu na huku) kisha peleka sehemu ya kiuno ya kulia upande wa kulia, sehemu ya mbele ipeleke mbele uwezavyo(nina maana ile pelvis tu sio tumbo na kila kitu) alafu baada ya hapo peleke sehemu yako ya kiuno ya kushoto-kushoto, kisha peleka seheumu yako ya mbele nyuma hali itakayofanya matako yako yabinuke/jitokeze kwa nyuma.....nyoosha magoti kisha rudi kulia(ulipoanzia).



Fuata hatua hizo kwa mara nyingine tena ambazo ni simama wima-kulia-mbele-kushoto-nyuma kulia x 20 na kuendelea inategemea zaidi na bidii yako.



Baada ya kuzoea hatua hizo hapo ndio unapotakiwa ku-create movements na mirindimo yako kivyako. Mfano lala chali, kifudifudi(lalia tumbo), ubavu, chutama, piga magoti n.k kisha nenda kulia-mbele-kushoto-nyuma-kulia mpaka kiuno kizoee......hey alafu usisahau ukiwa ndani ya "game" kukilazimisha mpaka kitakapo kubali/zoea.


Kidokezo: Zoezi zuri la kukata kino ni kulala kifudifudi(kulalia tumbo) kisha kukizunguusha (hapa usipokuwa mwangalifu unaweza ku-cum via kisimi kwa vile unatua unakisugua kiaina sio mbaya ni njia moja wapo ya kujipunguzia stress sio hahahahaha).


Haya Zeze endeleza somo bidada.


Nikirudi nitakueleza tofauti za ukati kiuno na faida zake.

Friday

Jinsi ya kukata kiuno!

Zeze aliahidi kisha akaingia mitini, sasa mimi nitawapa "basic" ikiwahuwezi/hujui kukizunguusha a.k.a gogos.

Endelea kuwepo!

Thursday

Hivi huwa tunajiandaa tunapoanza familia?



Nimeshuhudia sehemu kuwa ya watu hapa Duniani huamua kuwa na familia (kuzaa) kwa kushitukizwa (bila kuwa tayari). Kwa vile mimi ni m-bongo na nina uzoefu au nawajua wabongo basi nitaegemea huko kwa m-bongo halisi.


Sina hakika kama ni ubinafsi au ile kasumba ya kipuuzi kwamba ukiachia mimba basi Mpenzi hakuachi, pia inawezekana kabisa kuwa ni uzembe wa mtoa mbegu (mwanaume).


Kisheria (as far as I remember) umri wa kushiriki ngono/funga ndoa ni 18+ japo kuwa bibi yangu aliolewa akiwa na miaka 15 akaja kuzaa mtoto wa kwanza akiwa na miaka 20 ila kwa karne hiyo kulikuwa na sababu ya kuolewa ktk umri mdogo ambazo sote natumaini tunazijua.

Sasa ndugu zangu mnapo amua kupeana mimba huwa mnakuwa mmejiandaa baada ya kung'amua faida, majukumu, matatizo, mabadiliko ya kiakili na kimwili (mwanamke)?

Je, huwa mnakuwa na uhakika na uamuzi wenu au mmoja anaamua ili kumridhisha mwenzie au jamii inayomzunguuka? au hutokea tu kwa "bahati mbaya"?
Huwa nasikitika sana ninapo ona binti au kijana huyu mdogo ambae katoka kwa wazazi (bado mtoto) kisha akawa mzazi na yeye kwamba hajui tofauti au mabadiliko ya mwili wake kutoka Utoto, Ujana na kufikia Utu uzima na anapofikia umri mkubwa (utu uzima) anakuwa amejichokea(kazeeka).

Kijana/binti huyu hajafaidi ujana wake....sio kufanya ngono ovyo bali kufanya yale mambo ambayo vijana tunapenda kuyafanya bila kuwa na hofu "mtoto" atakula nini kesho, sijui anaumwa, amekua unahitaji vivazi vipya, siku gani ni clinic, je mpenzi wako ana-cheat n.k., kujua tofauti ya kupenda (bila ngono), n.k.


Ongezea basi uonavyo wewe (bila ku-attack mtu) mimi nasikia usingizi, swaumu kali hapa!

Nakuja......

Monday

"Jinsi ya kupenda kwa vitendo"

Kama ilivyo mambo mengine kuwa “affection” ni swala la kujifunza, baadhi ya wanaume waliokuzwa/kulia kwenye jamii yenye mfumo Dume (Waafrika kwa ujumla) huwa hawajui kuonyesha hilo hitaji, embu tuliite “kupenda kwa vitendo” hivyo huenda sio kwamba hataki bali hajui.


Kwa maana hiyo sio mbaya ikiwa wewe mwanadada ukamfundisha nini cha kufanya, ikiwa na wewe ulikuwa huji basi jifunzeni wote ili kuwa una uhusiano bora wenye furaha.


Mpaka hapo umeelewa nazungumzia nini sio? Sasa Ili kufupisha maelezo nitaorodhesha mambo machache ambayo wanawake wengi huwa tunapenda kufanyiwa (kiujumla ukiachilia mbali utofauti wetu) ili tujue kweli tunapendwa kihisia na kivitendo.

1-Hakunakitu wanawake tunazimia kama kukumbatiwa nakupigwa busu mara kwa mara.

2-Kabla hujakurupuka kitandani hakikisha umekumbatia na kubusu hata kama kalala(hakuna raha kama kuamshwa na busu au mkumbatio).

3-Mwmabie jinsi gani unampenda na unavyopenda chapati/mayai/viazi alizopika au hata jinsi alivyoandaa mlo wa asubuhi.

4-Wakati unatoka ndani kumbatia chap-chap na busu kiduchu ndio utokomee kazini, hata kama mnatoka wote kwenda kwenye kituo cha daladala unafanya hivyo kabla hujakanyaga vumbi la nje.

5-Onyesha unajali kwa kumjulia hali kwa sms au sauti mara baada ya kufika kwenye mihangaiko yako na vilevile kumbuka kufanya hivyo kabla hujaondoka eneo la shughuli zako pia hakikisha unamueleza utakuwa saa ngapi nyumbani au kama kuna mahali unapitia basi mfahamishe utakuwa huko kwa muda gani n.k.

6-Ufikapo nyumbani kumbatia na busu mdomoni sio shavuni, badala ya kukimbilia kusema yaliyojili huko utokako.

7- Mnunulie vijizawadi mara kwa mara, wazaramo hununuliwa Khanga au hereni na mikifu ya dhahabu, Wazungu hununuliwa maua, kadi au vidani vya madini tofauti, kuna wengine ukipeleka kitoweo (aina ya nyama) basi umemaliza kezi mwana mama anafurahi kweli-kweli sasa wewe fanya kile unachomudu………..hey sio kila siku wala kila mwezi..


8-Msaidie kusafisha mesa/jamvi mara baada ya mlo wa jioni, ikiwa umechoka hata yeye kachoka pia hivyo mkikutana nyumbani mna-share kufanya usafi ili kuokoa muda.


9-Lolote litakalo tokea kila la kheri, lakini hakikisha unabusu na kukumbatia kabla hujaanza kukoroma.

Kila la kheri ktk hili.

Wanaume, tupendeni kwa vitendo!


Wakati wa kunanihii si mara zote huwa penzi......

Kwenye moja ya makala zangu kuna mshirika (Moses) aligusia mahitaji ya wanawake na wanaume ktk mahusiano ya kimapenzi(nitalizungumzia hilo ktk siku zijazo).
Leo napenda kugusia kidogo kuhusu hitaji moja mbalo sote tunahitaji lakini tuna feli (fail) kulitekeleza, hitaji hilo ni “Affection” ukilitekeleza ni kuwa “affectionate” kwa mwenza wako…………Kiswahili chake ndio nini?
Tumeshuhudia mahusiano mengi ya kimapenzi kuanzia baba na mama, ndugu, jamaa na marafiki wakipendana au kuwa pamoja kama wapenzi, lakini ni mara chache sana utawaona hawa wapenzi wakionyeshana kuwa wanapendana kwamba sio “affectionate".
Ni kweli kuwa unampenda mwenzi na unamjulisha unampenda kwa kumwambia, lakini kumbuka kuwa penzi ni hisia ulizo nazo wewe juu yake. Unahisi kabisa bila yeye wewe ni hamna kitu hapa Duniani lakini yeye haoni hilo unless ufanye kwa vitendo yaani uonyeshe unampenda mwenzio.
Huenda ni kutokana na tamaduni au mila na desturi kwamba hupaswi kufanya mambo Fulani ukiwa nje ya chumba/nyumba, lakini kuna baadhi ya watu hata wakiwa mahali peke yao kama wapenzi huwa hakuna kutekeleza hilo hitaji kitu ambacho mwenza wako ataona kama vile humpendi au humjali na uko nae kama msaidizi (ATM,mpishi,usafi n.k) au mtu wa kukuburudisha kwa kutumia mwili wake.

Kuwa “affectionate” kwa mpenzi wako huitaji kumkumbatia na kumlamba/busu mbele ya kadamnasi bali unaweza kumshika mkono,kutembea nae ubavu to ubavu (sio baba mbele mama nyuma na furushi lake kichwani) vilevile unaweza msaidia furushi ukiweza unambebea hata mkoba wake n.k..

Kwa sasa naishia hapa, nitarudi baada ya masaa machache kumalizia, karibu

Thursday

Maana ya Penzi!


Penzi halina dawa, penzi halihusiani kabisa na kufanya ngono(hivyo kubinuka aina nyingi za mibinuko haina maana ndio utapendwa au unapendwa zaidi) penzi huja "naturally" huitaji kulazimisha wala kwenda kwa Mganga....Penzi huitaji na huchukua Muda.

Lakini je, penzi ni nini hasa?
Watu wanasema penzi halielezeki au halina tafasiri maalumu kwamba kila mtu anamaelezo yake kuhusu penzi na maelezo hayo hutegemea zaidi na uzoefu wake.

Mimi kama Dinah nadhani penzi ni hisia zenye nguvu ya ajabu za mtu Fulani juu ya mtu Fulani, hisia hizo hazijalishi muonekano(mavazi, sura, umbile n.k), utajiri, umri, Elimu, aina ya maisha au tabia.

Hisia hizo humfanya mtu ashindwe kufanya mambo ya kawaida ambayo huyafanya kila siku kwa vile kichwani anakuwa anamfikiria yule ampendae, hisia hizo zinaweza kupelekea mtu kubadilisha personality na tabia yake hasa pale unapofanikiwa kuwa na huyo umpendae.

Unapofanikiwa kuwa/mpata yule umpendae huwa unapata raha ya ajabu kila unapomuona, inakuwa ngumu sana kuwa mbali nae. Hisia hizo zikikomaa hukufanya uhisi maumivu yake ikiwa anaumwa, umemuudhi au kaudhiwa na mtu mwingine, anapokuwa na huzuni mpenzi wako hakika utahisi huzuni n.k.

Wewe unafikiri Penzi ni nini?

Maelezo yako yatasaidia wasomaji wengine kama wewe kujitambua kama kweli wanapenda,wanatamani au wanafuata mkumbo.

Karibu sana.

Wednesday

Nguzo 5 za uhusiano bora wa Kimapenzi!


Nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo, kulikuwa na akina mama ambao walikuwa wakijadili mambo yao ya kimapenzi kila wanapokutana pale kibarazani (mbele ya nyumba) mida ya jioni mida ya jioni wakichambua mchele au kumenya viazi tayari kwa mlo wa jioni.
Wamama hao walikuwa wakijadili mambo mengi sana ila moja ninalokumbuka ni kuwa "ili usiachike ni lazima umpe mumeo kila akitaka, umpikie mapocho-pocho, uwe msafi, umuwekee maji bafuni na kumkogesha, umkande miguu na kupenda ndugu zake".

Kutokana na maisha ya sasa kwa wengi wetu ukiachilia mbali kuwahi kuangalia Isidingo (Tv 4 u) kufanya hayo niliyoyataja inakuwa mbinde kidogo kwa vile tunafanya kazi nyingine ili kuchangia kipato ktk familia zetu na unaporudi nyumbani unakuwa umejichokea, sana sana utafanya moja kati ya hayo si unajua tena mambo fulani (mwenzi mtukufu mwee!).

Alafu ndugu wa mpenzi/mumeo huitaji kuwapenda unapaswa kuwaheshimu au kuwaonyesha heshima tu, kumpenda kijana wao isiwe taabu kha!

Tuachane na hayo basi, tuendelee.....Mimi kama Dinah naamini kuwa haijalishi unapesa kiasi gani, "libido" iko juu kiasi gani, Umzuri au Umrembo kiasi gani, "mnato au mdebwedo", unampenda jinsi gani au unatabia njema kiasi gani ktk uhusiano wako wa kimapenzi kama hakuna hizi kitu 5, nenda shule kajifunze!

1-Ushirikiano
2-Masikilizano na Maelewano
3-Heshima
4-Mawasiliano (angalia picha)
5-Kujali

Hayo mambo matano yanavipengele ambavyo vingine viko wazi sana na sitoweza kuviweka hapa kwa vile watu tumefunga.

Nakaribisha mchango, maoni, maswali na nyongeza ktk hili.

Msikilize Dada Stara

Ty.

Thursday

Penzi linapobadilika na kuwa Heshima!


Hili swala la penzi kwisha mimi huwa nalisikia tu kutoka kwa watu tofauti kuwa kuna wakati mtu unajikuta humpeni tena mpenzi wako na unatafuta namna ya kujitoa kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi.

Kwa wale waliko kwenye ndoa huwa ni ngumu kidogo kutokana na "dini" kuwabana au anabaki ndani ya ndoa uhusiano kwa vile anakuheshimu kwa kuwa ni mama wa watoto wenu hasa kama umemzalia watoto 2-3 hivi lakini ktk hali halisi anakuwa na mtu mwingine ampendae nje ya ndoa (part time lover a.k.a Kimada a.k.a nyumba ndogo).

Mwanamke unatakiwa kuwa makini na mjanja kutambua mabadiliko hayo(penzi au heshima), kwani mtu anapokuheshimu na kukuthamini kwa vile umemfanyia jambo fulani kubwa hakuna tofauti kubwa sana na kupendwa.

Hivyo ikiwa kila usiku analala kitanda kimoja na wewe nakukamilisha mambo mengine ya kifamilia na kuambiwa "nakupenda mama nanihii" haina maana kweli anakupenda bali anakuheshimu na vilevile anajaribu kuepuka malalamiko au maswali.

Mimi binafsi naamini kuwa unapompenda mtu kwa maana halisi ya mapenzi huwezi kuchoshwa au penzi lako kwake kupungua kama sio kwisha kabisa.

Pamoja na mambo mengine kuna sababu zinazochangia mabadiliko hayo ambayo ni kujisahau kwako mwanamke, kuwa na tabia ya "ndio bwana", kukubali usemi kuwa "mumeo akiwa ndani akiwa nje si wako bali wa wote", kukimbilia kuzaa siku chache baada ya kuwa ndani ya uhusiano au ndoa kwa vile unahofia usipompa mtoto basi ataenda zaa nje n.k.

Nakaribisha nyongeza kuhusu hili, maswali, maoni na ushauri.

Karibuni sana na kila kheri ktk mfungo mtukufu.

Wednesday

Vishawishi vinavyosababishwa na Teknolojia......

Hapo chini nimezungumzia Teknolojia inavyoweza kuchukua muda mwingi kuliko ule unaotumia kuwa na mpenzi wako, na nimetaja simu na Mtandao (internet )na vilevile swala la kutembelea Salon na Gym.

Sasa leo nazungumzia ni jinsi gani vitu hivi vinashawishi na hata kupelekea baadhi ya wapenzi wetu kutumia muda mwingi katika "kona" hizo kuliko ule wanatumia kuwa na sisi.

Simu za mkoni;
Ni wazi kuwa simu inarahisisha mawasiliano yakikazi, biashara na inatufanya tuwe karibu na wapedwa wetu kila siku bila kupoteza kiasi kikubwa cha pesa kwenda kumtembea ndugu jamaa na marafiki.

Lakini simu hizi pia zimekuwa ni kishawishi kikubwa kwetu kufanya mahusiano ya kimapenzi ya kihisia na mtu yeyote ambae anajua namba yako au wewe unajua namba yake.

Hii inaweza kutokea ikiwa mhusika mwenye jinsia tofauti na wewe anajisikia mpweke siku hiyo, amechukizwa na mpenzi wake, amesongwa na mambo mengi yanayomfanya ajisikie hana raha n.k. na hivyo akaamua kuwasiliana na wewe kwa kukutumia "text" na kila kitu kikaanzia hapo.

Vilele mpenzi wako au wewe unaweza ukapokea "text" yenye mrindimo wa kimapenzi kutoka kwa mfanya kazi mwenzio au mfanya biashara mwenzako au hata rafiki wa mpenzi wako kimakosa, lakini kwa bahati mbaya ukavutiwa nayo (ukidhani ni yako na mhusika kakuzimia) hivyo ukaijibu vema kabisa na mpekeaji akavutiwa na ulichojibu na hapo ndio unakuwa mwanzo wa.......

Hayo yote niliyoyasema na mengine unayoyajua kuhusiana na mawasiliano ya simu yakonoga huwa yanasababisha wenza wetu ku-set pin # ili usiweze kufungua simu yake(ikiwa una tabia hiyo), hata siku moja huwezi ukakuta simu yake imezagaa juu ya meza.........siku zote itabaki ndani ya bagi ambalo linafunguo, wakati wa kulala itawekwa uchagoni (chini yamto), akiwa anaongeza nguvu simuni basi hatocheza mbali na mahali hapo n.k.

Unaweza kuongezea kuhusu hili kwa faida ya watu wengine na hasa walengwa ambao ni wanawake.

Karibu sana.

Sunday

Tekinolojia na mapenzi inaendelea hapa.....

Sote tunatambua kuwa mahusiano yamekuwa yakivunjika mara kwa mara, ndoa hazidumu kama ilivyokuwa miaka 40 iliyopita na kama ndoa/uhisiano huo umedumu basi ujue asilimia kubwa ni uvumilivu wa mmoja wao kwa vile kuna watoto ndani ya uhusiano huo na mara zote mvumilivu huyo huwa na uhusiano mwingine nje.

Uhusiano huo unaweza ukawa wa kimwili (mambo ya kimada, nyumba ndogo na vipoozeo), uhusiano wa kihisia tu ambao mara nyingi huitaji kuonana na mwenza wako na huu ni ule wa kimtandao a.k.a internet, uhusiano wa kimapenzi wa simu kwa kutumia sms na ule wa kuongea kwa sauti.

Nitazungumzia mahusiano ya kimapenzi ambayo ni matunda ya Teknolojia kila uhusiano kwa nafasi ili kukusaidia wewe kuelewa na kutoa maoni au kuongezea yale niliyoyaelezea.

Mtandao a.k.a Internet.
Mtandao umekuwa sehemu kuwa ya maisha yetu hivi sasa, wengi wetu tunatumia muda mwingi kukaa mbele ya Komputa kuliko ule mda tunaotumia kukaa na wapenzi wetu.

Kwa baadhi ya wenza (couple) hujitahidi kujigawa ili mwenza wake asijisikie vibaya au kuhisi anatengwa au kutojaliwa na hivyo wapenzi hao huamua kutembelea tovuti tofauti usiku wa manene wakati wapenzi wao wamelala au ilemida ambayo wanamaliza kazi au wako kazini nakisingizio ni kuwa kuna kazi au Data wanapaswa kuzimalizia na zinahitaji uchunguzi "online".

Hapa inaweza ikawa muhusika (mwenza) akawa anatembelea chat rooms, Forums, Emails(sio zote za kikazi), kutembelea Tovuti za Porno au kama sio zile za kutafuta jamaa mliosoma pamoja, marafiki n.k.

Simu za mkononi.....sms!
Mpenzi hapa anatumia muda mwingi kutuma na kusoma sms kutoka kwa watu tofauti na baadhi huwa ni wapenzi ambapo hubandikwa majina yakiume ikiwa muhusiaka na mwanaume na kupewa majina ya kike ikiwa mhusika ni mwanaume.

Simu za mkononi-kuongea!
Mpenzi anatumia muda mwingi kuongea kwenye simu kuliko muda anaotumia kuongea au kufanya mambo mengine yanayohusiasha uhusiano wenu wa kimapenzi.

Tekinolojia hii pia inahusisha swala la kutembelea Gym, Salon......zamani hakukua na haya mambo sio, ila siku hizi utakuta bwana au bibi atumia muda mwingi kwenye kona hizo kuliko ule anaotumia na mwenza wake.

Natambua nimegusa wengi hapa.............karibu tujadili kuhusu hili, tufanye nini ili kuokoa mahusiano yetu ya kimapenzi na wakati huohuo kufaidi matunda ya Teknolojia?

Karibu sana.........

Thursday

Tekinolojia ndani ya mahusiano yetu ya kimapenzi.

Kutokana na kukua kwa tekinolojia watu wengi tumekuwa tukitumia muda mwingi kwenye Komputa (Internet), simu za mikononi, Luninga na vifaa vya umeme (Gadgets) na kutumia muda kidogo na wapenzi wetu hali inayoweza au inayopelekea mtafaruku ambao huatarisha maisha yetu ya kimapenzi na wapenzi wetu.

Sasa basi leo nikirudi kutoka Kariakoo nitaelezea hilo kwa kina ili kutambua nini kinaendelea akilini mwa wapenzi wetu japokuwa wanaonekana hawajali wewe kukeshakwenye Komputa.

Karibu mida-mida tushirikiane ktk kuzungumzia hili.

Ty.

Friday

Matiti sehemu ya mwisho!


Usafishaji

Pole msomaji kwa kusubiri, sina hakika kama sote tunajua jinsi ya kusafisha matiti. Ikiwa wewe unajua basi ujue kunamwingine hajui na kama ilivyo ada mahali hapa tunajifunza sio au kujazia/ongezea yale tunayoyafahamu.


Hakikisha unasafisha eneo zima la matiti hasa sehemu ya chini (ikiwa wameanguka tayari) kama ilivyo sehemu nyingine ya mwili wako, vilevile hakikisha chuchu zimejitokea na usafishe vema chuchu hiyo....hii sio kwa walionyonyesha au wanaonyonyesha tu bali hata wewe ambae hujawahi kuwa na mtoto.


Unatambua kuwa unapokuwa mtu mzima chuchu hutoa kashombo fulani hivi ambako husababishwa na utokwaji wa majimaji fulani unapokaribia hedhi na wakati wa hedhi (hii ni kutokana na matiti hayo kutengeneza maziwa incase utarutubisha yai lako).


Kunyonywa/chezewa matiti yako ili kuzuia yasianguke haraka;


Hakikisha mpenzi wako anayanyonya akiwa ameshikilia au wewe umeyashikilia, vilevile hakikisha anapo yapapasa au kuyatomasa(neno limekaa vibaya hili Kha!) anywho, basi afanye hivyo bila kuyahangaisha....kwamba ahakikishe yametulia.


Unapokuwa kwenye mkao wowote unaosababisha matiti yako yasumbuke basi hakikisha mpenzi kayakamata sawia au kama wewe mwenyewe hujapoteza akili kwa raha basi yashikilie....kwa kufanya hivyo kutasaidia matiti yako yasilegee kabla ya wakati.


Ni wazi kuwa sote matiti yetu yanakwenda kulegea pale tutakapokuwa tunapoza homoni yaani tutakapo zeeka lakini kuzaa au kuwa mdada mkubwa (over 40) sio sababu ya kujiachia.


Nakutakia mwisho mwema wa wiki, karinu tena mahali hapa.


Siku njema.

Sunday

Samhani! Lakini hii imeniuma sana.


Well, mimi binafsi sijawahi kuona haya mambo yakukeketwa mpaka asubuhi hii; Jamani kuna mila za kutokomeza.....huu ni ukatili wa hali ya juu.




Inaudhunisha sana.


Nitaendelea na somo la mwisho la matiti, pole kwa usumbufu.

Thursday

Utunzani wa matiti wakati wa hedhi na Ujauzito!


Natambua kuwa uvaaji wa sidiria wakati matiti yanakua, wakati wa hedi na wakati wa ujauzito ni karaha sana na unahisi kubanwa tu (kwavile yanauma kiaina) na hali hiyo hutufanya wengi kuachana nazo na kuachia matiti yakining'inia bila "support".


Kama nilivyosema awali kuwa matiti wakati wa hedhi huongezeka ili kuwa tayari kutengeneza chakula cha mtoto ambae kwa wakati huo yai lako linakuwa likisubiri kurutubishwa na mbegu ya kiume lakini hilo lisipotokea basi matokeo yake ni wewe kupata hedhi.


Si wanawake wote wanaopata maumivu/ongezeko la ukubwa wa matiti wakati wanakaribia hedhi na wakati wa hedhi, lakini ikiwa wewe ni mmoja kato ya wale ambao matiti huongezeka ukubwa unapokaribia na wakati wa hedhi basi hakikisha unafanya mazoezi kama niliyoeleza kule mwanzo na pia zingatia kuvaa sidiria wakati wote isipokuwa wakati wa kulala.


Vilevile kwa wamama wajawazito ni vema kuvaa sidiria ili kuyasaidia uzito wa matiti yako usiyavute kwenda chini hali itkayopelekea kuwa na matiti ya liyolala mara baada ya kujifungua.


Nikirudi nitamalizia najinsi ya kutunza matiti wakati wa unyonyeshaji pia wakati wa kufanya ngono (mfundishe mpenzi wako jinsi ya kuyachezea na kuyanyonya.....si

Monday

Vaa sidiria au vest kadili siku zinavyo kwenda!


Jinsi matiti yanavyokuwa ndio uzito wake huongezeka hivyo kama binti/mwanamke unahitaji kuyasaidia kwa kuvaa kitu ambacho kitayasaidia kubaki pale yanapopaswa kubaki......nina maana vaa sidiria.


Vest ivaliwe wakati ukifanya mazoezi au unaweza kujifunga khanga (nyepezi) chini ya matiti yako hali itakayosaidia matiti yasiume sana wakati unafanya unayasumbua(inategemeana na ukubwa wake).


Wakati nakuwa wanawake wengi walikuwa wakiamini kuwa kuvaa sidiria kunasababisha matiti kuanguka; sio kweli.


Kumbuka kutovaa sidiria wakati wa kulala kwani naweza kusababisha uvimbe (damu kujikusanya pamoja) ktk matiti yako na badala yake lala kifudifudi(lalia matiti yako a.k.a lalia tumbo)


Natumaini nyote mnalijua hili sio? kama mlikuwa hamjui sasa mnajua.


Nawatakia siku njema na karibuni tena nitakapomalizia swala zima la usafishaji na utunzajiwa matiti kwa wanawake waliondani ya mahusiano ya kimapenzi.


C ya!

Thursday

Mazoezi ya Matiti yanayoanza kujitokeza!

Kama nilivyosema awali kuwa ikiwa wewe umechelewa(ulikuwa hujui hili wakati matiti yako yanaota) basi msaidie mdogo wako au binti yako anaekuwa hivi sasa, ili asije kujisikia vibaya pale wanaume watakapokuwa wakiponda/zungumzia matiti kwa kuyaita "malapa"...."flapy" n.k.


Kwanza kabisa hakikisha mtindo wa kulala ni kifudifudi (kulalia tumbo), kwa kufanya hivyo kunasaidia kwa kiasi kikuwa kufanya matiti yako yabaki/pumzike, kwamba hakuta kuwa na kuning'inia kama utakuwa umelala chali(lalia mgongo) au kiubavu.

Zoezi...1

Asimame wima dhidi ya mlango au ukuta kisha aegeshe matiti yake mahali hapo kwa nguvu kisha aachie (ajitoe ukutani), zoezi hili hufanya matiti yaume sana lakini wewe kama dada/mama mpe moyo kuwa avumilie. Afanye hivyo mara 20 kila asubuhi.


Zoezi....2

Simama wima huku mikono yako ikiwa imenyooshwa huku na kule kisha ipeleke mbele nakukutanisha viganja vyako alafu irudishe nyumba kadiri uwezavyo (sio lazima ikutane) ila utahisi maumivu fulani sehemu ya matiti (misuli yafanya kazi hapo)....fanya hivyo mara 10 na ongeza hesabu njinsi unavyokua.


Zoezi...3

Ukiwa umesimama wima na mikono yako imenyooshwa huku na hule inanyue taratibu kuelekea juu na kutanisha vidole vyako huko juu kisha rudisha mikono ilipokuwa (imenyooka huku na kule).


Baada ya hapo mimi nilikuwa nikienda kujiandaa tayari kwa kwenda shule nikiwa na hasira kibao kuwa nimeamshwa alfajiri.


Kila la kheri kwa hili...........sijamaliza hivyo usikose kutembelea tena.

ty.

Monday

Utunzaji wa Matiti


Nilipokuwa na kuwa, yaani matiti yalipoanza kujitokeza (acha kile kipindi cha moja la kushoto kwanza kisha linapotea) nazungumzia ule muda yote yamejitokeza.


Bibi yangu alikuwa akinifundisha jinsi ya kulala ili matiti yasisambae (yasibadilishe muelekeo) pia alikuwa na tabia ya kuniamsha alfajiri ili nianze kufanya mazoezi ya matiti kitu ambacho kilikuwa kikiniudhi sana, kwamba wenzangu wamelala mimi ndio naamshwa kisha eti ni binti mwenye matiti.


Utagundua kuwa swala la mazoezi halijaanza karne hii bali lilianza miaka mingi sana ktk makabila fulani kwambailikuwa sehemu yakumuandaa mwanamke kukaa vema kwa ajili ya mwanaume atakae muoa..........ila mimi nitachangia nani ili kujiweka sawa ili kujiamni kama mwanamke (ikiwa matiti yamelala tayari basi msaidie mtoto wako kwa kike au mdogo wako sio).


Matiti si kiungo muhimu sana ktk mwili wa mwanamke, matiti ni chakula bora cha mtoto na hukufanya uwe karibu na mwanao, matiti hukupa wewe mwanamke raha fulani hivi yanapochezewa na mpenzi wako, matiti ni kivutio kikubwa kwa wanaume wengi na mtiti hayo kwa wanawake wengi ni kipele muhimu cha kunyegesha ikiwa tu yatanyonywa na kulambwa vyema......sio dume wajilambia tu ka vile walamba chikilimu (I ce cream 4 u) utamuudhi mkeo/mpenzio au atakudharau!


Kuna jinsi ya kusafisha matiti, kunajinsi ya kuyatunza matiti ili yasilale kabla ya muda wake na bila kusahau matiti yanahitaji tizi (mazoezi).


Usicheze mbali naja na maelezo mengine kukamilisha somo hili.


Asante kwa ushirikiano wako.

Tuesday

Sigina a.k.a saga!

Haya wajameni ngoja sasa nimalizie na ile kitu inaitwa “sigina” au saga, lakini kabla ngoja nikupe hadithi ya mkao huu. Kule kwetu tunatumia zaidi karanga zilizosagwa na kuwa laini sana a.k.a “ntili” kama kiungo kwenye mboga au kuweka kwenye uji badala ya maziwa yaani kama ilivyo nazi ktk mikoa ya pwani.

Sasa ili kusaga hizo karanga mapaka ziwe “ntili” kwamba laini utahitaji muda wa kutosha kufanya hivyo na vilevile kubadili mikao (inategemea na uwingi wa karanga unazo sigina/saga).

Kwa kawaida unatakiwa kukaa na kupanua miguu kisha waweka jiwe katikati ya miguu yako na kuanza “kusigina”, ukichoka unabadili mtindo na hapo unapiga magoti, unapanua kiasi sehemuya mapaja kisha unainamia kidogo mahali lilipo jiwe na karanga juu yake ili uweze “kusigina” vema….yeah naona sasa unaanza kuelewa hehehehehe raha hizi! Huu ndio mwisho wa hadithi yangu, tuendelee sasa na somo la mkao wa kusigina a.k.a saga.

Baada ya kukuru-kakara za kuwekana sawa/tayari kwa kufurahia tendo takatifu, mlaze mpenzi wako juu ya kitanda/mkekani au kwenye sakafu (inategemea mnapenda wapi na usisahaukuwa comfy), panua na wakati huohuo shikilia miguu kitendo kitakachofanya mapaja yake yainuke pia alafu wewe jiweke kati (rejea jinsi ya kusaga “ntili” ukiwa umepiga magoti hapo juu).

Alafu sogeza mikono yako mbele zaidi ili ushike sehemu yake ya mapaja pale ktk ili usije ukaangaka, mara baada ya kuwa kwenye “control” jisogeze mbele ili uume ukuingie ukeni na kisha anza kwenda mbele-nyuma taratibu huku na badilisha mwenda jinsi uwezavyo.

Wakati wewe unafanya hivyo yeye anatakiwa kuzunguusha kiuno (sio wanawake tu tunaotakiwa kukata viuno, wanaume pia mnatakiwa kujua kucheza ngoma ei zile za asilia........hahahahaha mtakoma) au hata kujisogeza huku na huku ili agonge pombe zote za uke na kuwafanya wote mfurahie mnachokifanya.

Ikifikia wakati umechoka au unakaribia kufika kunako utamu basi jaribu kufanya kama vile unamlalia…….bila kuachia miguu/mapaja yake, kufanya hivyo kutasababisha kisimi kiguse sehemu ya juu ya eneo la uume wake na kukusababishia pupate ile wanaita “Double O”.

Nashukuru kwa ushirikiano wako na pia naomba radhi kwa Kiswahili changu kibovu;

Ty.

Thursday

Sultan!


Ktk mkao huu mwanamke anakuwa mtendaji mkuu, mwanaume hapa anatakuwa kutulizana, kufuata maelekezo na kusogea akisogezwa,kuvutika akivutwa yaani yeye ni kufurahia utendaji wako (kule kwetu huwa tunafunzwa ku-treat wanaume kama wafalme/watemi) na hii ndio asili ya mkao huu ila sijasema kuwa utawaliwe ei!


Jinsi ya fanya.

Mkae mkiangaliana na wakati huohuo miguu imepanuliwa kwamba yeye atapitisha miguu yake sehemu ya kiuno ha hapo mnaweza kuanza kupeana mahaba kwa kukumbatiana, piagana busu, shikana, kumbatiana, papasana na hata kuambiana yale maneno matamu ambayo ukiwa nje ya chumba ni machafu si wayajua eeh? hey yaongee ikiwa unapenda au anapenda na yanawaongezea hamasa!


Taratibu mlaze mpenzi wako chali kitandani ukiwa katika mkao uleule kwamba uko mbele yake na umepanua miguu yako (yeye akiwa katikati), ikunje miguu yako sehemu ya magoti na nyanyua miguu yake na kuiweka kwenye mabega yako jivute kwa mbele ili mboo ili ikuingie vema.


Ktk mkao huu kiuno kinakwenda vema kabisa kwa vile wewe ndio mtendaji mkuu na yeye atakuwa ametulia tu akisikilizia utamu, huitaji kuharakisha au kumharakisha na badala yake chukua muda kum-pamper huku wamtomba (hey hapo mwanamke anatomba japo hahahah) pia unaweza ukabadilisha mwendo kwa kupiga nje-ndani (nenda mbele na nyuma) taratibu huku ukilamba/nyonya vidole vyake vya miguuni na anapofika kileleni mnyonye kwa kuvuta dole gumba la mguuni ili kumuongezea utamu (baadhi ya wanaume hupenda hiyo hivyo mjaribu na wako).


Kila la kheri ktk kufurahia miili yenu na asante sana kwa ushirikiano wako.


NB: Naomba radhi ikiwa kuna maneno yakiswahili nimekosea alafu mwisho mzuri wa wiki nawatakia ikiwa hatuto

Wednesday

Kipepeo

Kama unakumbuka niliwahi kuzungumzia mikao ya kukufanya ufike kunako utamu haraka ukisaidiwa na kiungo “’Bo”, vilevile nilielezea kwa kifupi tu kuhusiana mikao itakayoufanya misuli ya sehemu husika kukaza na wakati huohuo kufurahia tendo tukufu ambalo wanyama na ndege tumejaaliwa ila bin’adamu tumependelewa kidogo wewe unasemaje?

Umewahi kuona kuku wakifanyana? Simba je? Vipi mbuzi na ng’ombe? Yaani ni “one sec mnyama husika” mwee, achana na hayo!

Sasa leo naelezea hatua kwa hatua mikao yaki mahaba, unaweza ukawa unapenda nakupendwa lakini hamjawahi kufanyana ktk mikao ya kimahaba. Si unajua pale penzi linapochanganya? Basi unatakiwa kujitahidi na kuuweka uhusiano wako ktk kiwango hicho unless uko na lijamaa kwa sababu zako nyingine na si mapenzi ya kweli.

Mikao ya kimahaba niijuayo mimi si mingi kama ilivyo ya kungonoana (kuna tofauti ya kungonoana, kufanya mapenzi kawaida na kufanya mapenzi kimahaba; tutaeleweshana hili siku nyingine). Lakini unaweza uka-creat mwenyewe kutegemeana na mnavyojuana wewe na mwenza wako.

Mikao ya kimahaba hufanywa taratibu, kwa muda mrefu na kwa hatua hali itakayo kufanya ufurahie kila kitu kuanzia pumzi yake, mgusano wa ngozi zenu, harufu asilia ya miili yenu, mshiko wa viganja venu, ulaini wa midomo yenu, kusikilizia mapigo ya moyo, uzuri namvuto wa macho yenu, tabasamu n.k. hii itakusaidia wewe na mpenzi wako kuwa karibu zaidi na mnaweza kufurahia zaidi kuliko mnavyofanyana kawaida.

Mikao hii ya kimahaba inajulikana kwa majina ya Kipepeo, Sultan a.k.a mtemi, sigina a.k.a saga.

Kipepeo;
Muongoze mpenzi wako; anapaswa kuwa juu ya kitanda/sakafuni/mkekani na kupiga magoti kisha kukaa akiegesha makalio yake kwenye visigino hali itakayofanya makende/pumbu kugusa godolo na uume utakuwa juu kama kawaida.

Wewe unatakiwa kumkalia kwenye mapaja yake na kupitisha miguu yako sehemu yake ya kiuno (hakikisha miguu imegusa godoro/mkeka/sakafu inategemea mko wapi) bila shaka kablya hatua hii mtakuwa mmeisha anza kupigana mabusu ya mate, kupapasana/tomasana hapa na pale, kulambana n.k.

Mnapokuwa tayari (yeye kasimamisha na wewe umekuwa mnyevu) mpenzi wako atapaswa kuinua mguu wa kulia (wakati anafanya hivyo ataku inuka na wewe kumbuka ulikuwa umemkalia mapajani) hivyo atakuwa kasimamia goti moja la kushoto, na wakati huohuo atakuwa kakushikilia kiunoni kwa mkono mmoja na mwingine utakuwa umekushika pegani (atapitisha mkono wake kwapani kwako) kisha atakuingizia mboo.

Unachotakiwa kufanya ktk hatua hii ni kukata miuno ktk pande zote, kutumia misuli ya uke wako kubana na kuachia uume wakati yeye anaingia na kutoka, vilevile unaweza kufanya hivi; akiingiza wewe rudi nyuma yeye akirudi nyuma wewe peleka kidude mbele, si wajua mrindimo wa huu mchezo?

Haya kazi kwako na kila la kheri ktk kuboresha uhusiano wako.

Hee! Kumbe ni usiku hivi?…..Sultani na sigina nitaielezea kukicha. Asante sana kwa ushirikiano na uvumilivu wako, karibu tena!

Je unatumia au umewahi kutumia?


Madawa ya kuzuia mimba! Nimeombwa kutoa maelezo kuhusu hili jambo na mimi sina uzoefu nalo, hivyo tafadhali naomba ushirikiano wako mahali hapa.


Toa ushuhuda kuhusiana na swala zima la madawa hayo na mabadiliko, mafanikio n.k.


Kubaki na jambo bila kuchangia na wenzio ni uchoyo sio, haya karibu sana.


N:B Pamoja na maelezo yatakayo tolewa hapa wewe mwanamke hakikisha unamuona Dakitari kwa ushauri wa kitibabu kabla hujajikitakwenye hii kitu.


Nimebanwa kiaina na shughuli wiki hii.....unakumbuka nilizungumzia mikao ya kimazoezi, mikao inayosaidia ufike haraka sasa nikirudi naibuka na mikao ya kimahaba ambayo ni bab-kubwa sultani ka kipepeo ndani ya Dinahicious

Friday

Maalumu kwa bikira!


Tafadhali, ikiwa wewe ni bikira usithubutu kupunguza siku zako za hedhi kama nilivyoeleza hapo chini nabadala yake subiri mpaka hapo utakapo kuwa mkubwa na tayari kujiingiza kwenye maswala ya mahusiano ya kimapenzi.


Ikiwa unaswali lolote wewe manamke mdogo, usisite kuniuliza naahidi kukusaidia kadili ya uwezo wangu ili uweze kuvuka kipindi hiki kigumu ambacho hata mimi nilipitia, hakika nitakupa mbinu mbili tatu ili uvute muda mpaka utakapo kuwa at least una miaka 21 na kuendelea.


Usiogope nipo hapa kwa ajili yako.


Asante kwa uelevu wako.

Wednesday

Punguza siku zako za hedhi!


Ktk makala moja iliyopita nilielezea swala la kujiswafi ili kuondoa utoko nakupunguza harufu/shombo ya uke, vilevile nilisema kuwa kwa kufanya hivyo (kujisafisha huko chini) kunapunguza siku zako za hedhi ikiwa utaendelea kujiswafi wakati uko hedhini.


Sote tunatambua karaha ya hii kitu na baadhi hutunyima raha ikiwa wapenzi wetu hawezi kumudu kufanya ngono wakati uko huko mwezini japokuwa wewe unataka kuliko siku zote.


Sasa ni hivi; kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa siku zako ni kati ya 3-7 lakini wewe unakwenda siku 8-12 na huelewi kwanini wewe wakati wengine wanapiga siku tatu tu?


Unapokuwa hedhini damu huchirizika taratibu lakini si damu yote inayotoka nje ya uke na kujaa kwenye "Tampax" au "pads", sasa ili damu hiyo yote itoke yenyewe inamaana itakubidi uisubiri kutegemeana na uwingi wake.


Hivyo, ili kupukuza swala la kusubiri isaidie kwa kidole chako cha kati kuitoa huko iliko kama ambavyo nilielezea awali kwenye swala la kutoa utoko. Endelea kujiswafi mpaka uone maji yanachuruzika bila damu.....kwenye hedhi utahisi uterezi usihofu au kutafuta jitihada za kuumaliza, haumaliziki kwani wakati huo uke unakuwa laini ili kusaidia mabonge ya damu kupenya kwa urahisi (natambua sio wote lakini Mungu ndio alivyoumba hivyo).


Mara baada ya kujiswafi vaa kifaa chako kama kawaida na endelea na shughuli zako, kumbuka kujiswafi kila unapokwenda kuoga na hakika utajikuta unakwenda siku chache zaidi kuliko ilivyo awali.


Pssssss!Awali nilikuwa nakwenda siku sita (nilikuwa bikira so huruhusiwi kujisafisha) lakini tangu nilipoingia kwenye ulimwengu wa ulimwengu (mahusiano yakimapenzi) nikaanza kujiswafi napiga siku 3 tu na damu sio nyingi sana kama ilivyokuwa awali.....


Nakutamia siku njema na kila la kheri katika kupunguza siku zako za damu.


Ciao!


Tuesday

Uongo ktk mahusiano ya Kimapenzi!

Kuna hili swala la kuwaita wanaume wadanganyifu (waongo) na wanapenda kulaghau ili kupata kile wanachokitaka na cha kusikitisha hapa sio baadhi yao bali wote.

Wanawake pia ni wadanganyifu lakini haionekani kama tunadanganya kwa vile sio wote ni baadhi na uongo wetu sio wa mara kwa mara, uongo wa mwanamke unategemea zaidi malezi na hatimae kubadilika pale unapokua na kuwa tabia, kwa wenzetu wanaume uongo kwao ni sehemu ya UANAUME.

Nakumbuka wakati Fulani nilikuwa kwenye uhusiano na jamaa Fulani hivi, kule alikokuwa akiishi kulikuwa kuna bidhaa Fulani hivi nzuri na nilikuwa nazihitaji sana. Sasa kwa kurahisisha mambo nikaomba huyo mchumba aninunulie (kwa kumtumia senti) kisha anitumie huku niliko.

Yeye akakataa kupokea “senti” zangu akidai kuwa ni kitu kidogo atashughulikia kwa senti zake sio. Nikawa nasubiri mzigo wangu uje lakini kila nikikumbushia napewa hadithi, nikaona tuaache tu kwani ktk siku chache nitakuwa huko (kumtembelea) na hivyo nitavichukua mwenyewe.

Nilipofika huko hakukuwa na mazungumzo yoyote kuhusu vifurushi vyangu bali wakati najiandaa kuondoka ndio akaja “clean” kuwa hakunua kwa vile mambo yaliingiliana na akaomba msamaha. Sasa huyu jamaa aliongopa ili kuulinda “Uanaume wake”.


Uongo ninaozungumzia hapa sio ule wa kikazi, kisiasa au kibiashara bali uongo katika mahusiano yetu ya kimapenzi. Uongo huo wanaotuambia mara kwa mara huwa kuna sababu yake, sio kwamba wanadanganya kwa vile wanapenda bali inawabidi au niseme kuna kuwa na ulazima unaopelekea wafanye hivyo.

Haya ni baadhi ya mambo yanayopelekea tudanganywe!

*Aibu kutokana na utoto wake, magonjwa asilia ktk ukoo wake au magonjwa aliyougua alipokuwa “kinda” na kuachia alama ya kudumu mwilini, ulongo hapo unakuja ili usijue matiatizo yake ya awali ambayo kwake ni aibu. Vilevile kama alikuwa “bozo” yaani wale watu wanaonewa na kila mtu na hawajui kujitetea zaidi ya kukimbilia kwa mama.

*Kutojiamini kwake, kwamba anakufikiria wewe ni “mtu wa hali Fulani” kutokana na zungumza yako au mavazi na wakati mwingine mahali unapofanyia shughuli zako sasa ili a-“fit” na yeye anajifanya kuwa yuko kwenye daraja hilo la juu kumbe masikini mtu mwenyewe ni msaka nyoka tu(mtu wa kawaida).

*Kutojiamini kwako, huenda wewe hupendi jinsi ulivyo(mnene kupita kiasi au mkondefu) na hali hiyo inapelekea yeye kutofaidi mwili wako kikamilifu kwani kila ukichojoa lazima uzime taa kisha unajikubika kwenye shuka na hakuoni ulivyoumbika bali anahisi tu kwa mikono (hey hiyo sio nzuri). Sasa ili aweze kuwa huru inabidi aongope kwa kukupa misifa lukuki ambayo huna ila anajua ungependa kuwa hivyo.

*Kuogopa kukuumiza au kuepuka kununiwa, mwanaume akifanya kosa kubwa siku zote huongopa ili asikuumize lakini baada ya muda Fulani huwa wanasema ukweli na kutoa maelezo ya kwanini walidanganya wakati ule…..ukinuna hapo utakuwa mjinga kwa vile swala lilitokea mwaka au miwili iliyopita, kwa wanawake walioendelea hushukuru lakini kwa mwafrika halisi sidhani mambo yataisha kirahisi hivyo na vikao vitaitishwa aisee!

*Kuepuka mzozo, mwanaume hulazimika kusema uongo ambao yeye anatambua wazi kuwa ndio unataka kusikia kwa wakati huo. Inafikia wakati anakubali kufanya kila kitu (hata vile ambavyo huwa hafanyi) ili tu usimsumbue akili yake na maneno yako kama umemeza kaseti vile.

*Kupumzisha akili na kuepuka maswali mwanaume atadanganya kuwa kazini kila kitu kilikuwa salama na mambo yamekwenda vema kabisa kama alivyotaka,lakini ukweli hapo ni kuwa yaliyojili kule hataki kuyahamishia nyumbani akijua wazi hutomsaidia kitu san asana utamzidishia maumivu ya kichwa tu.

Sina maana kuwa wanawake sio “smart” na michango yetu haiwasaidii wapenzi wetu la hasha! Kumbuka kila mwanaume anajua anaishi au yuko na mwanamke wa aina gani “akilin”, natumaini umenielewa hapo.

*Mwisho kabisa ni ule uongo usiokaribia ukweli na unatokea karibu kila siku hata kwa vitu vidogo na vya kawaida tu, yaani kwa kifupi ni wehu bin ujinga. Ikiwa wako yuko hivyo tafuta ustaarabu mpya.

Pole kwa maelezo marefu ila natumaini yatakusaidia nakufumbua akili yako kwanini hawa viumbe wanapenda kutumia uongo ili kuweka mambo sawa japokuwa wakati mwingine wanaharibu mambo.

Nakaribisha maswali, maoni na nyongeza ya uogo wa wanaume.
Ty.

Sunday

Betty!

Mpendwa Betty pole kwa kutokujibu kwa wakati, hii ni kutokana na wingi wa shughuli. Kwanza kabisa napenda kukupongeza kwa uwazi ulionao wa kuzungumzia swala hili hapa, watu wengi huficha na kutoomba msaada wa kitibabu au hata ushauri tu wa kawaida kwa sababu ya uoga, kutokuelewa kama ni tatizo au aibu ya kujadili swala hili.

Kama nilivyosema kwenye maelezo yangu ya awali (wiki iliyopita) kuwa tatizo hilo huenda likawa limesababishwa na ulegevu wa misuli (pelvic floor) ambayo hufanya kibofu cha mkojo kufunga na kufunguka, ikiwa msiuli hii ikalegea basi tatito la kutokwa na mkojo ukicheka, hema kwa nguvu, kukohoa n.k. hujitokeza.

Tatizo hili linaweza kumpata mtu yeyote na sio wanawake pekee bali hata wanaume na watoto na husababishwa zaidi na unene kupita kiasi, uzee, Kuugua mara kwa mara, matatizo ya kupata choo, kuanza ngono mapema, matumizi ya madawa ya kuzuia mimba, na zaidi husababishwa na uzazi.

Ninachokushauri ni wewe kwenda kumuona Daktari wa magonjwa ya wanawake na atakusaidia ili kupunguza na kuondoa kabisa kero hiyo, huenda ikawa dawa, mazoezi vilevile anaweza kukushauri utumie bidhaa maalumu kwa ajili kuvuja mkojo bila kujitambua/kusudia.

Kila lakheri.

Tuesday

Kwenda nje ya Ndoa/Uhusiano/ukware/Umalaya

KWA maana ya haraka haraka ni mtu asiye na adabu/heshima, huruma, utu, muharibifu, mkatili, mlafi, mshamba na ni muuaji vilevile.

Tatizo hili limekithiri katika jamii yetu na sasa limekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya watu au kwa maana nyingine wamefanya kuwa ni utamaduni wa kisasa (kwenda na wakati).

Tabia hii mbaya huathiri kwa kiasi kikubwa baadhi ya familia hasa ikiwa muhusika yuko ndani ya ndoa na amefanikiwa kupata Watoto.

Tabia hii haiko ndani ya ndoa pekee bali hata katika mahusiano ya kawaida ya kimapenzi tofauti ni kuwa ndani ya ndoa akina Baba ndio wako mstari wa mbele na walio nje ya ndoa baadhi hulipiziana visasi.

Wanawake walio katika ndoa hujitahidi kuwa wavumilivu wakiamini kuwa ndoa ni uvumilivu. Hapana! ndoa ni kuvumiliana (wote wawili) ikiwa mmoja wenu anamatatizo kiuchumi, kuugua, ajali n.k, lakini sio kwenye Uasherati jamani mwee!. Mimi wangu akitoka nje naua aisee!(hahahaha natania ila hatonipata tena)

Baadhi ya wanawake hushindwa kufanya uamuzi hasa ikiwa mwanaume ndiye “kitega uchumi” au wanafuata maadili mema ya mtanzani (utakufa kwa ngoma na maadili yako shaurilo). Wengine hung’ang’ania kubaki katika ndoa “for the sake of kids” na hii ni kutokana na kutokuwa na kipato kitakachomfanya amudu maisha yake na watoto ikiwa ataomba/kupewa Taraka.

Pamoja na mambo au sababu nyingine zinazopelekea tabia hii mbaya hizi zifuatazo hupelekea watu kutoka nje ya uhusiano wao wa kimapenzi/ndoa.

*Kutopata mapenzi ya kweli hasa ikiwa Kijana/Binti alilazimishwa kuoa/kuolewa na mtu ambaye hakumpenda “for the sake of Radhi ya Wazazi”, maadili, kuhofia umri n.k..

*Uchafu, kutojijali au kujipenda.-Wote mwanaumena mwanake.

*Kutoridhika au kutosheka na wakati mwingine uroho tu- Wanaume zaidi.

*Mmoja wenu kuwa na shughuli nyingi za kikazi/Biashara, kusafiri – Wote mwanamke na mwanaume..

*Tamaa ya kumiliki vitu Fulani –Wanawake zaidi.

*Kujaribu na kujifunza mambo mapya/mitindo lakini kutokana kufuata maadili unaogopa kuwa wazi kwa mpenzi wako-Wake kwa waume..

*Kukosa tendo la ndoa kwa muda mrefu ikiwa mwanamke ana Mimba kubwa /amejifungua n.k-Wanaume.

Kamanilivyowahi kusema kwenye makala moja iliyopita kwamba pamoja na mambo mengine mapenzi ni kuambizana ukweli, ikiwa mwenzi wako hakuridhishi, mchafu n.k ni vyema ukatafuta muda na ukamweleza taratibu tena kwa upendo, kumbuka hakuna Mwanadamu aliyekamilika hapa Duniani kila mmoja anakasoro zake.

Mpenzi wako (haijalishi mwanaume/mwanamke) ni kama mtoto anatakiwa kubembelezwa, kuelekezwa na ikiwezekana kufundishwa baadhi ya mambo ambayo hayajui.

Kama wewe ni mtu mzima na umepitia/unajua haya acha wenzako wanaoinukia maisha ya mapenzi wajifunze.

Asante na karibu tena.

Friday

Utatambua vipi kama ni yeye au sio?

UHUSIANO wa kimapenzi unaimarishwa na mambo mengi kutegemeana na wahusika wenyewe lakini haya matano (5) ambayo ni kusikilizana, kuaminiana, kuheshimiana, kusaidiana, kushirikiana ni muhimu na yakifuatwa vyema na pande zote mbili basi uhusiano wenu utakuwa mzuri na wenye afya.

Mara zote tunapoanzisha uhusiano huwa hatuko wazi kwa asilimia mia moja kusema tunataka nini kutoka katika uhusiano huo mpya. Mara zote sisi wanawke ndio huwa tunakuwa na kimbelembele kujua uhusiano tulionao unakwenda wapi katika kipindi kifupi, kwamba tunataka kufahamu kama ni “ring au fling” lakini kwa vile wanaume tunaokuwa nao kwenye uhusiano huwa hawataki kutukatisha tamaa au hanawana uhakika na hisia zao juu yetu wanawake hulazimika kutudanganya na baadhi hulipa na mahali kwa wazazi ili kutupa matumaini na at the end huwa hakuna ndoa.

Kwa wanawake inakuwa ngumu (baadhi hatujakuzwa hivyo) kuwaeleza wanaume kuwa tunachotaka ni uhusiano usio makini (casual) ili kukidhi mahitaji ya kifedha au kimwili na matokeo yake huwa tunatafuta njia za mkato ili kuwaudhi wenza wetu hali itakayo wafanya wamalize uhusiano na sisi.

Wanaume hujikakamua na kusema wazi ikiwa hawako tayari kuwa nauhusiano wa muda mrefu au hawako tayari kufunga ndoa kwa wakati huo na hivyo huturahisishia wanawake(ambao sio ving’ang’anizi) kuelewa uhusiano wenu utakwenda ama unakwenda wapi?.

Natambua kuwa kuna baadhi yetu huwa na uhakika kuwa uhusiano wao ni “ndoa” baada ya miezi mitatu ya kuwa pamoja na wengine huwachukua hadi miaka mitano kuwa tayari ama kuwa na uhakika na wanachokitaka kutoka kwenye uhusiano, hii ni kutokana na jinsi walivyokuzwa ama kushuhudia maisha mazuri au mabaya ya ndoa za wazazi wao au ndugu wakaribu.

Swala muhumi ni kuchukulia mambo taratibu na kutolazimisha (hasa kwa wanawake), ikiwa Mungu anataka kuwa huyo uliye nae ndio awe mume/mke wako basi ndivyo itakavyokuwa hivyo hali kadhalika ikiwa sio yeye hamtofika mbali hata kama utalazimisha atafunga ndoa na wewe kukuridhisha tu au kuhofia umri au hata kuhofia kudhaniwa Shoga na jamii inayomzunguuka.

Lakini ikumbukwe kuwa sote wake kwa waume hatuna mioyo ya ujasili wa kufanya hivyo na baadhi yetu huwa tunaonyesha kwa vitendo kuwa hatuko tayari kuuchukua uhusiano tulionao kwenywe hatua ya juu zaidi na badala yake huwa tunafanya vitendo bila kujitambua lakini vinaashiria wazi kabisa kuwa mtazamo wako na wa mwenza wako kwenye uhusiano wenu ni tofauti japo kuwa mnapendana kupita kiasi.

Vilevile kuna wakati unahisi ama unajua kabisa kutoka moyoni mwako kuwa humpendi sana mpenzi wako kama ambavyo ungependa kumpenda lakini unaendeleza uhusiano na yeye kwa kuhofia kumuumiza au kumuonea huruma ingawaje mwishoni mmoja kati yenu ni lazima atakumbana na ukweli na kuukubali ukweli huo kuwa hautakiwi.

Sasa, kuna vijimambo hujitokeza ndani yauhusiano ambavyo vitakufanya utatambue kuwa mpenzi wako hayuko makini sana na wewe au kakuchoka ila hajui jinsi yakutoka.

Uchelewaji: Mmeagana kukutana na wewe umesubiri kwa takriban saa nzima, lakini anapofika ana-act kuchelewa dakika tano tu na bila aibu wala huruma haombi msamaha kwa kukugandisha vilevile hatokupa sababu ya msingi/maana (mwanamke kuchelewa kwenye “date” ni muhimu na ni sehemu ya urembo ukiachilia mbali kujiandaa kuku-impress wewe bali pia umuone wakati anaingia na kukufanya wewe ujivunie kuwa na mrembo kama yeye).

Utani:Ni kitu kizuri na husaidia kuwaweka karibu kimapenzi, lakini ikiwa mwenza wakoa nakutania kuhusu mambo ambayo mnayafanya mkiwa wawili tu, au kasoro zako mbele ya rafiki zake, ndugu zake nakukucheka huo hautakuwa utani bali kukudhalilisha.

Kutotilia maanani: Mfano kuna swala muhimu unataka mzungumze lakini yeye anapiga tarehe kila unapoomba muda na yeye na siku akikubali kukaa chini ili mzungumze basi majibu yake yatakuwa ndio au hapana, hatoi maelezo ya kutosha kuhusiana na issue unayomueleza hasa ikiwa inahitaji maamuzi yenu kama wenza.

Kutojali: Wakati wote wewe ni mtu wa kupiga simu kujua yuko wapi, ikiwa anaumwa au anamatatizo kifedha wewe unakuwa pale kwa ajili yake lakini kibao kikikugeukia humuoni na wala haonyeshi kujali kuwa unamatatizo na kwamba anapaswa kuwa hapo kukupa moyo wa kukabiliana na yanayokukabili.

Sehemu ya mwisho ktk maisha yake: Kukatisha miadi na wewe kwa ajili ya kuonana na rafiki zake, wakati wote wote wewe ni mkosaji mbele ya wazazi wake na ndugu zake.

Kutengwa: Akitoka hatoki na wewe kwenda matembezini, kila akichelewa kurudi basi alikuwa na rafiki ambae hupaswi kumjua, hukutambulisha kwa jina lako badala ya “mpenzi wangu” ikifuatiwa na jina lako.

Kutoheshimu ndugu familia yako: Sote hatujakamilika, lakini ukikosea kidogo tu basi ukoo mzima utaunganishwa kwenye kosa hilo Mf ndio maana mama’ko yuko hivi, umerithi kutoka kwa baba yako, kwenu wote mko hivi au vile n.k.

Kwa leo naishia hapa tukutane tena baadae,

Upendo na amani ndio nguzo bora ya maisha marefu.

Thursday

Ngono ni sanaa





Kufanya mapenzi/ngono na mpenzi wako ni sanaa, tuchukulie sanaa ya urembaji. Huitaji kwenda shule/darasani ili ujue jinsi ya kuremba au kujiremba bali unakwenda shule ili uwe na Cheti kinachotambulika ili uweze kukitumia kutafutia kazi napengine kuaminiwa na Muajiri au Mteja wako.

Sidhani kuna mtu anataka cheti cha kufanya ngono ei? Kuna yeyote anahitaji cheti hicho ili a-ambatanishe wakati mwanaume anamtokea? Hahahahhaha sidhani!

Sanaa ya urembo huanzia kwako mwenyewe, unajaribu wanja unakaa vibaya unafuta unapaka tena mpaka unaona sasa umekaa sawia, hali kadhalika unapaka rangi hii ya mdomo inakuwa haiendani na umbile la midomo yake unapaka nyingine mpaka unagundua rangi/aina gani inafaa kupakwa midomoni mwako sio? Hali kadhalika poda na “foundation”.

Sasa hata Ngono inatakiwa ijaribiwe hivyo na wewe mwanamke mwenyewe. Kwanza unatakiwa kuujua mwili wako na umbile lako huko chini, eti wengine hujiogopa nakusema linatisha au limekaa vibaya (hii ilikuwa wakati ule tuko wadogo tusijichungulie wala kujigusa nahatimae kuondoa bikira) ukishaanza kuingiziwa dude huna haja ya kujiogopa.

Kuna baadhi ya wanawake hawajui kabisa Kuma zao zimekaa vipi na hata mpenzi wake haruhusiwi kuona, vilevile kuna baadhi ya wanaume ambao wanadhani kuwa mwanamke anatundu mbili kule chini moja ni ya mkojo na nyingine ni yakutumbukiza mboo na hujidanganya kwa kusema “ukibahatisha kutia tundu la kutolea mkojo ndio mwanamke anafika haraka”…..nafikiri huwa wanamaanisha kisimi mana’ke kitindu cha mkojo kiko chini kidogo ya kisimi.

Vilevile kuna baadhi ya watu ambao wanaamini sana msemo huu “bucha zote nyama ni ileile”…hey sio kweli nyama zinatofautiana kwa kiasi kikubwa na hata utamu hutofautiana na hii hutegemea zaidi na uwazi wa muhusika pia ufurahiaji wa mwanamke anapofanywa na mpenzi wake ambao sio wa uongo (Fake)…(nitalizungumzia hili siku nyingine).

Sikiliza dada/mama mpendwa nikwambie, uke ni kitu cha thamania mbacho mungu ametujaalia, uke unasura nzuri na ndio mana waume/wapenzi wetu hupenda kuangalia na wengine kucheza nayo, huenda ni kweli haikuvutii lakini kumbuka kuwa huitaji kuvutiwa kwani wewe ni mwanamke hivyo unatakiwa kuvutiwa na uume.

Sasa ili ujijue unatakiwa kucheza na mwili wako wakati mpenzi wako hayupo au pale unapokuwa na muda basi jitafutie faragha kisha tumia kioo jichunguze, cheza na maumbile yako, jiguse, jiangalie ukinyegeka basi jichue (usitumie sanamu bali mkono yako) na hakikisha unajua umegusa wapi ambapo pamekufanya ujisikie hivyo ulivyojisikia (kama vipi andika kabisa kwenye karatazi) fanya hivyo kila unapopata muda badala ya kusoma au sikiliza habari za kidaku.

Kumbuka sisi wanawake tunatofautiana sana ukiachilia mbali kitabia, maumbile namuonekano pia tunatofautiana jinsi ya kufurahia ngono/mapenzi hivyo usitegemee mpenzi wako akufanyie vile anavyoujua mwili wa Fulani na Fulani mwambie akufanye vile wewe unapenda.

Nitaendelea mida-mida na maelezo haya naona kuna mtu ananisumbua hapa…….

Tena:Nisamehe kwa kiswahili changu kibovu!

Pages