Wednesday

Je unatumia au umewahi kutumia?


Madawa ya kuzuia mimba! Nimeombwa kutoa maelezo kuhusu hili jambo na mimi sina uzoefu nalo, hivyo tafadhali naomba ushirikiano wako mahali hapa.


Toa ushuhuda kuhusiana na swala zima la madawa hayo na mabadiliko, mafanikio n.k.


Kubaki na jambo bila kuchangia na wenzio ni uchoyo sio, haya karibu sana.


N:B Pamoja na maelezo yatakayo tolewa hapa wewe mwanamke hakikisha unamuona Dakitari kwa ushauri wa kitibabu kabla hujajikitakwenye hii kitu.


Nimebanwa kiaina na shughuli wiki hii.....unakumbuka nilizungumzia mikao ya kimazoezi, mikao inayosaidia ufike haraka sasa nikirudi naibuka na mikao ya kimahaba ambayo ni bab-kubwa sultani ka kipepeo ndani ya Dinahicious

No comments:

Pages