Friday

Matiti sehemu ya mwisho!


Usafishaji

Pole msomaji kwa kusubiri, sina hakika kama sote tunajua jinsi ya kusafisha matiti. Ikiwa wewe unajua basi ujue kunamwingine hajui na kama ilivyo ada mahali hapa tunajifunza sio au kujazia/ongezea yale tunayoyafahamu.


Hakikisha unasafisha eneo zima la matiti hasa sehemu ya chini (ikiwa wameanguka tayari) kama ilivyo sehemu nyingine ya mwili wako, vilevile hakikisha chuchu zimejitokea na usafishe vema chuchu hiyo....hii sio kwa walionyonyesha au wanaonyonyesha tu bali hata wewe ambae hujawahi kuwa na mtoto.


Unatambua kuwa unapokuwa mtu mzima chuchu hutoa kashombo fulani hivi ambako husababishwa na utokwaji wa majimaji fulani unapokaribia hedhi na wakati wa hedhi (hii ni kutokana na matiti hayo kutengeneza maziwa incase utarutubisha yai lako).


Kunyonywa/chezewa matiti yako ili kuzuia yasianguke haraka;


Hakikisha mpenzi wako anayanyonya akiwa ameshikilia au wewe umeyashikilia, vilevile hakikisha anapo yapapasa au kuyatomasa(neno limekaa vibaya hili Kha!) anywho, basi afanye hivyo bila kuyahangaisha....kwamba ahakikishe yametulia.


Unapokuwa kwenye mkao wowote unaosababisha matiti yako yasumbuke basi hakikisha mpenzi kayakamata sawia au kama wewe mwenyewe hujapoteza akili kwa raha basi yashikilie....kwa kufanya hivyo kutasaidia matiti yako yasilegee kabla ya wakati.


Ni wazi kuwa sote matiti yetu yanakwenda kulegea pale tutakapokuwa tunapoza homoni yaani tutakapo zeeka lakini kuzaa au kuwa mdada mkubwa (over 40) sio sababu ya kujiachia.


Nakutakia mwisho mwema wa wiki, karinu tena mahali hapa.


Siku njema.

No comments:

Pages