Tuesday

Zeze on kuktk

shamim a.k.a Zeze said...
Samahanini ni kazi zilibana tu sasa wacha niwape somo kujifunza kukatika kila siku au kila upatapo muda kaa kitandani lala chali kwa kutumia kiuno chako chora namba 1...2...3....4...5....6 hadi 10 mwanzoni itakuwa ngumu so waweza anza kwa kuchora namba 1-4 baada ya hapo kiuno chenyewe kitakuwa chepesi kiasi kwanza hata ukibeba mzigo juu kitakuwa kinaendatry this then mlete feed back hapahapa kwa mama malavidadavi
2:48:00 PM

No comments:

Pages