Thursday

Inakuwaje Mkifunga ndoa?


Mnaacha matumizi ya kondom ili kuzuia mimba na magonjwa mengine ya zinaa ambayo sio lazima yatokane na kufanya ngono holela/ovyo na watutofauti bali yanajitokeza kutokana na mkanganyiko wa vimelea (cells) hasa kwa upande wa wanawake?

Tujadili hili.....

Kisha nitakuja na maelezo ya kina ambayo kwa namnamoja au nyingine yatakusaidia au kukupa mwanga ktk maamuzi yako na mwili wako(hasa mwanamke).
ty.

No comments:

Pages