Inshu na Mke wangu ilianzia pale alipokuwa hanipi ushirikiano Kitandani na kila nilipo mwambia anasema kachoka. Nikahisi kunajamaa anamazoea nae yamepita kiasi, nikaanza kufuatilia mara nikakuta Vidonge vya kuzuia mimba.
Nilipomuuliza akaniambia havitumii vilikuepo kwa muda, mie sikuridhika na maelezo yake. Basi nikamwambia twende kweo lakini akataa, ikabidi niondoke pale kwenye ile nyumba nikarudi kwetu.
Mara akaja na yule jamaa niliekua namhisi na Mke wangu eti kaja kuchukua kifaa chake so jamaa kaja kumsaidia, wakachuka hao wameondoka sasa dada dinah hii inshu imeniathiri sana kwani nimetokea kumchikia sana mke wangu.
Hivi muda wowote namuacha coz kila nikimfikiria jamaa na Mke wangu nakosa hamu yakufanya Mapenzi, hata awe mwanake mwingine sitamani.
Mimi na Mke wangu tumezaa mtoto mmoja wa kike naomba ushauri wako please!
*************
Dinah anasema:Ahsante na shukurani kwa ushirikiano. Walaa sichoki, nikichoka nitafunga Blog.
Inshu yako imechichanganya....pale uliposema ukamwambia mkeo arudi kwao, akakataa kisha wewe ukatudi kwenu.....kwani mlikuwa mnaishi wapi? Hotelini au Mkeo anaishi na huyo Jamaa?....hata hivyo nitakujibu kama ifuatavyo.
Kutumia Vidonge vya kuzuia Mimba sio kosa kama Mkeo hataki kuzaa tena, haina maana kuwa anatoka na mtu mwingine.....inawezekana kweli ni vya zamani, kwani baadhi ya wanawake hubadilisha Vidonge pale wanapohisi kuwa haviwafai....Vidonge sio kielelezo cha kucheat.
Kutokukupa ushirikiano kitandani inategemea na shughuli zake za kutwa nzima, pia sio sababu kuwa anaridhishwa huko nje. Kuna wanaotoka nje na bado wanatoa ushirikiano wa kutosha na kuonyesha mapenzi tele kwa waume zao.
Nadhani kwenye uhusiano wenu kuna ukosefu wa Nguzo muhimu iitwayo MAWASILIANO. Unahitaji kuongea na Mkeo, sio kumuambia. Kaeni chini na mzungumzie issue ya Uaminifu na unavyojisikia kuhusu huyo Jamaa, uhusiano wenu, mapenzi yenu na Mtoto wenu.
Siamini kuwa humpendi Mkeo, ila unahasira ambazo zinapelekea kuhisi kuwa "humpendi" lakini ukweli ni kuwa humuamini tena kwa vile unahisi kuwa anatoka na Mwanaume mwingine. Hali hiyo inapelekea kupoteza hamu ya kuwa nae karibu kimapenzi....
Issue yako haina ushahidi wa kutosha kuwa Mkeo anatoka na huyo jamaa ila inaonyesha unampa nafasi(unamsukuma) ili atoke na huyo jamaa.
Zungumzeni....vyovyote itakavyokuwa rudi tena na ujibu maswali yangu hapo juu.
Uliuliza via Comment ndio maana sikuweza kurudisha mail ili ufafanue kuhusi maswali yangu pale juu.
Tafadhali tumia Email kuuliza na sio comments.
Kila la kheri.
Mapendo tele kwako...
2 comments:
🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu
Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.co
Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.
Niliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.
Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.
ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
Hirizi za mvuto
Kutatua migogoro ya ardhi na mali
Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com
Post a Comment