Thursday

Nahisi naibiwa-Ushauri

"Nafikiri upo salama na unaendelea vizuri na shughuli zako.
Mimi ni mvulana 24, nina girlfriend ambaye tumeanza mahusiano yetu tangu tukiwa form One katika shule moja huko Kibaha mwaka 2002.

Tumeanza mahusiano ya kimwili tukiwa kidato cha tatu mwaka 04 kipindi hicho mwenzangu akiwa na miaka 16, nami nikiwa na miaka 19, nilifurahi sana siku hiyo kwani nilikuwa nakata utepe wa mpenzi wangu .

Tangu hapo ilikuwa kila baada ya mwezi tunakula goodtym mpaka tulivyomaliza kidato cha 4. Matokeo yalipotoka mimi nilichaguliwa kuendelea na kidato cha 5 ktk shule ya Azania mwenzangu hakupata nafasi na pia familiya yake haikuwa na uwezo wa kumsomesha zaidi.

Huku tulipunguza mambo flani kwakuwa elimu ilikuwa ngumu ukilinganisha na ile ya O-level, lakini tulikuwa tunawasiliana kama kawaida na mambo flani ya kizidi tulijiburudisha. Baada ya kumaliza kidato cha sita 6 mwaka 08 nilipata nafasi ya kuendelea na Elimu ya juu katika chuo cha Uhasibu Tanzania Institutes of Accountancy (TIA) tawi la mbeya.

Tangu nijiunge na chuo kila nikikutana kimwili na mwenzangu naona tofauti na nilivyozoea awali kwani sasa ukipiga goli moja tu mambo yanabadilika uke wake unakuwa na maji na mda mwengine naona kama size imeongezeka.

Sielewi kabisa dada inakuaje, najiuliza au ameshaanza kugawa mali yangu?. Nikimuuliza anasema kwamba hiyo ni kawaida kwa msichana kuna kipindi huwa inatokea hivyo, nashindwa kuelewa ukizingatia sijawahi kuingiliana na msichana mwingine zaidi yake nami ndiye niliye fungua mlango wake.

Naomba unisaidie dada angu kwani naogopa asije kuniuwa na Magonjwa. Sasa nafikiria kuachana naye lakini nashindwa ukizingatia nimemzoea, nimvumilivu na tumefanya mambo mengi ya hatari ila kwa hili nashindwa kuvumilia na roho inaniuma sana, huwa najiuliza kwanini size iongezeke wakati mi ndo mfunguzi wa uke wake?.

Naomba unisaidie kwa hili dada Dinah ili nijue ukweli wa mambo ili nifanye uamuzi sahihi.Ahsante!!
HO"

Dinah anasema:Mie niko salama kabisa hapa "naholideika" tu kimtido sehemu sehemu. Asante kwa mail yako na kunivumilia pia as nilikuwa "nabizika". Sasa wewe HO rafiki yangu ulianza uhusiano wa kingono yeye akiwa na miaka 16, ni mtoto na mwili wake ulikuwa bado unajengeka.

Wakati mwili wake unaendelea na mabadiliko ya ukuaji mlikuwa mnaendelea kula good tyme kama ulivyosema mwenyewe hiyo inaweza kuwa sababu ya kwanza. Sababu ya pili nadhani hakuwa akifika kileleni alipokuwa mdogo, sasa amekuwa mdada (mwanamke) anapata kusikilizia utamu na hatimae kukojoa......tuanze na sababu ya kwanza, sawa?

Sababu za Ukuaji:-
Hivi sasa huyu binti atakuwa na miaka 21 kama bado nakumbuka hesabu vema, umri ambao mwili wa mwanamke unakoma kukua yaani yale madadiliko kutokana kuvunja ungo yanakuwa yamekamilika na sasa anakuwa mwanamke kamili yaani mwili wake uko settled...umetulia.

Kwavile alikuwa akingonoka mara kwa mara akiwa ktk kipindi cha ukuaji mwili wake ukatend kukubali mabadiliko ya kingono yaliyosababishwa na uume wako na kuendelea kufanyia kazi sehemu hiyo kama ilivyo, sasa baada ya kuwa mwanamke wa miaka 21 ni kawaida kabisa kwako kugundua mabadiliko kama hayo na kwa kifupi wewe ndie uliyesababisha.......wazazi huwa wanasema acha kuharibu watoto wa wenzako that is what they mean.

Sababu ya kutofikia Mshindo (sitokwenda kwa undani kwa sababu ya Mwenzi mtukufu):-
Jinsi mwanamke anavyofurahi tendo ndivyo ambavyo ute unaongezekana na anapofikia mshindo(kilele) basi mwanamke huyu huzalisha ute mwingi zaidi hali inayoweza kusababisha yeye na wewe mtiaji kuhisi kama vile uke umepanuka kimtindo.

Ndio maana huwa nashauri wapenzi wanaokerwa na hili kubadilisha mkao/mdindo au kumpa muda mwanamke huyo apumzike (sio lazima utoke, unaweza kubaki ndani bila kufanya kitu) mpaka mwanamke huyo atakapo kuwa tayari kuendelea na ute utakuwa umepungua au unaweza kumfuta na kujifuta uume wako kisha mkaanza upya.

Mwisho kabisa napenda kukuhakikishia kuwa binti huyo hakuchezi shere na hata kama angekuwa kifanya hivyo wala usingegundua kwa kumtia, sio rahisi hasa kama anaotoka nao wanauume wenye ukubwa kama wakoa u chini ya hapo.

Ondooa hofu na endelea kupiga kazi kwa bidii.

Kila lilojema HO.

No comments:

Pages