Sunday

Nampenda Mdada alienizidi miaka 9, je naweza kuoa?-Ushauri

"Dada Dinah pole na mihangaiko ya hapa na pale ya kila siku. Mimi ni mwanaume wa miaka 23 naenda 24 sasa. Nimetokea kumpenda dada wa miaka 32 ambaye ni rafiki yangu kipenzi. Lengo langu ni kutaka kumuoa kwani moyo wangu umeridhika juu yake.

Sijamtamani kingono but I feel that I am in love with her. Hajawahi kuolewa na wala hana mtoto. Bado sijamweleza nia yangu ya kutaka tuhame kutoka kwenye urafiki tulionao kwenda kwenye uhusiano wa kimapenzi. Kwasasa mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu hapa Tz, mwenzangu yeye ni mwalimu.

Tumekuwa pamoja kama marafiki kwa mwaka mmoja sasa. Urafiki wetu ni zaidi ya urafiki kwani tushafanya romantic talk/romance kwa njia ya simu. Naogopa kumweleza nia yangu kwani nahofia kuumiza hisia zangu ikiwa atanikatalia.

Moyo wangu unapata faraja na mateso juu yake. USHAURI ninaoomba kwako dada Dinah na wanablog wengine ni, Je kuna athari zozote yinazoweza kujitokeza kutokana age gap iliopo ikiwa tutaoana?

Na je nimweleze nia yangu au nifute wazo hilo? Wanawake mnalichukuliaje swala la kuolewa na mume mdogo kuliko mke kwa gap kubwa? NAOMBENI MAWAZO YENU NA HEKIMA ZENU. Facts are sacred, opinion are welcome and ideas are respected.

I love u All,

NB. Kilichonivutia kwake ni akili yake iliyokomaa, upendo alionao juu yangu na uelewa mkubwa alionao. Sura huwa si kigezo cha muhimu sana kwangu".

1 comment:

Gerd Ulrich said...

Maisha yangu Maajabu yanashangaza ushuhuda, Jinsi nimepata kisanduku chenye nguvu sana ambacho sasa ni pesa yangu mara mbili kutoka mia hadi elfu ya pesa ndani ya masaa 24, na pia jinsi nimerudisha mpenzi wangu wa zamani, sababu kuu niliwasiliana na Dk Lomi kwa msaada mimi kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, basi ananisaidia ni nguvu kubwa ya kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, na ananipenda na ananithamini sasa, basi mimi na Dr Lomi tukawa marafiki, baada ya mazungumzo kadhaa namuuliza ikiwa kuna njia anaweza kuniganga ili nipate pesa, hapo ndipo aliponiambia juu ya sanduku hili la uchawi, akaniambia kuna aina na saizi tofauti ya sanduku, aliniambia aina zote za sanduku, ningeweza kumudu ndogo tu ya sanduku, baada ya maombi muhimu anayofanya kwenye sanduku, ananipeleka kupitia huduma ya kujifungua, aliniambia niweke pesa ndani, niliweka ndani ya sanduku 100 euro baada ya masaa 24 nikagundua ilikuwa elfu 10 euro ndani, na nimekuwa nikitumia sanduku kwa miezi 7 sasa, mimi na mchumba wangu tunaishi maisha bora, ikiwa unahitaji b ack mpenzi wako au pesa spell wasiliana na Dr Lomi kwa barua pepe: lomiultimatetemple@gmail.com au WhatsApp namba +2349034287285 unaweza pia kumwandikia kupitia Jina la Mtumiaji la Snapchat: drlomi20 atakusaidia nje, asante kwa kusoma

Kwaheri Gerd Ulrich

Pages