Sunday

Nimeshika Mimba, Je nitamwambiaje mama?

"My dear,
mimi ni msichana wa miaka 25, bado nipo chini ya himaya ya bi mkubwa, nimepata mimba na siku zote nasema sitatoa mimba. Sema bi mkubwa wangu nitamueleza vipi? Naombeni msaada jamani tafadhali dada dinah na wachangiaji wengine kwani nipo njia panda.

Boyfriend yeye yu tayari kuwa baba japo wote bado twamalizia masomo si fikirii sana juu ya yeye kwa sasa, yeye si ngumu kujadiliana naye isipokuwa mama yangu, sijui nianzie wapi kumwambia??? msaada tafadhali tafadhali...".

No comments:

Pages