Monday

Mpenzi anaporudi "the old fashion"

Unakumbuka nilikupa maelezo ya mwanamke wa zamani alikuwa akifanya nini pale mpenzi/mume wanapokwenda safari? Nia na madhumuni ilikuwa ni kukupa nafasi wewe kuelewa nini kilikuwa kikitokea wakati ule alafu chukua moja au mbili (jifunze) kisha changanya na yale uyajuayo sasa (ya kisasa). Sasa leo hapa namalizia sehemu ya pili ambayo ni kitu gali kilikuwa kikifanyika mpenzi anaporejea kutoka safari ya mbali.



Kitu cha kwanza kilichokuwa kikifanyika ama kufanywa na mwanamke anapomuona mume wake kwa mara ya kwazna tangu walivyotengana (kwenda safari) ni kumsoma kwa macho yuko katika hali gani.....afauraha, ucchovu, hasira, mgonjwa, kukata tamaa n.k. alafu ndio anamlaki mumewe huyo kwa kutegemeana na hali aliyonayo mpenzi wake.



Kumbuka kuwa wakatihuo hakukuwa na mawasiliano kama sasa kwamba unajua kama sio kusikia kitu gani kinaendelea kabla hata hujamuona mtu hivyo unakuwa umejiandaa na jinsi ya kumpoke si ndio?



Sasa kwa mfano mume hana furaha au mchovu au amekata tamaa mwanamke alikuwa akimlaki kwa furaha lakini sio ile kumkimbilia na kutaka abebwe (jitu lina hasira/huzuni linaweza kukumwaga kwenye majani/chini)....baada ya hapo mume alikuwa akichukuliwa moja kwa moja bafuni/kwenye jiwe/kigoda/stuli kusafishwa kisha anafunikwa na blanketi, shuka au khanga (kaniki) alafu anakandwa sehemu ya pembeni ya kichwa chake kwa kutumia kitambaa kilicholowanishwa kwa maji joto ili kumpunguzia msongamano wa mambo/usumbufu alionao kichwani yaani kumfanya a-relax.



Baada ya hapo kilikuwa kikichukuliwa chungu kikubwa au karai leye maji ya joto yaliyochanganywa na mafuta ya karanga alafu unatumbukiza miguu yake humo na kuanza kuikanda nakuikausha mara tu unapomaliza shughuli ya ukandaji.

Mume anaongozwa chumbani kisha alawa kitandani ili apumzike wakati mwanamke unaenda kuandaa chakula (zamani chakula kilikuwa kikipikwa ukiwa nyumbani na sio kabla kwani hakukuwa na vitunza joto/moto) na wakati unaandaa chakula hicho basi unaweza ukawa unaimba nyimbo mbali mbali zinazoelezea unavyojisikia au kilivyokuwa ukijisikia kutokana na upweke au kuonyesha jinsi gani unampenda mumeo.

Pole kwa kukusolemba, tuendelee kama ifuatavyo!

Chakula kikiwa tayari mwanamke humfuata mumewe na kumkaribisha, kwa kuanzia anaweza mlisha tonge mbili-tatu kabla hajakaa na kuanza kula nae. Wakati wanakula ndio wakati wa kuanza kuongea na kuuliza maswali ya huko alikotoka, safari ilivyokuwa na jinsi ulivyotaabika na upweke bila kusaha furaha yako iliyoje kuwa nae tena.

Ulikuwa ukidhaniwa kuwa huu ni muda muafaka kwa vile tayari ameonyesha anamjali, umempunguzia stress na kumfanya awe-relaxed zaidi hivyo atasikiliza na kuelewa kile unachomwambia tofauti na kama angeanza kuwakilisha hoja na malalamiko (ya mama mkwe mfano hahahaha) mara tuu baada ya kumuona.

Pia ulikuwa ni wakati mzuri kuliko kusubiri mpaka mko kitandani, kwani ni wazi kuwa ktk ile nyanja kusikiliza na kumuelewa mwenzio huwa sio rahisi kutokana na wingi wa nyege as you can imagine mtu ndio kajitokea safari lazima mambo fulani yawe mambo.

Sasa baada ya mlo kumalizika ndio unafuata ule wakati wa kujimwaga ktk kufanya mapenzi na kuonyesha ufundi na manjonjo yako uliouongeza wakati yeye hayupo.

Ikiwa narejea akiwa mwenye furaha kabisa yaani yuko kawaida mwanamke alikuwa hajitumi sana kama ambavyo nimeeleza hapo juu.

No comments:

Pages