Wednesday

Ushuhuda kutoka

Poleni kwa kuwaacha solemba kwa takiribani masaa 36 hivi kapajatop kangu kaliumia kidogo sasa nikakapeleka sipitali, kamerudi few min ago. Ktk kupitia comment nimekutana na ushuhuda huu, wengi huniandikia mail lakini naona huyu kaja kushuhudia hapa kwa faida ya wote...anasema,

"dinah mpenziilike 6-7 months ago nilikuandikia msg naomba ushauri nifanyaje niweze kuingia kwenye relation tena maaana i was betryaed by my ex niliyezaa nae!!ushauri wako ume work i met a nice guy we trully love eachother,anampenda mtoto wangu pia na inshallah mungu akisaidia tunampango wa kuhalalalisha relation yetu.he adores me n adore him we re in love dinah ,im in love at last hehhehe.endelea kushauri wengi kama mimi ..i took my time n he came along .thanksmamiii"
ni anony @ 5:07:00 PM ipo kwenye topic hiyo hapo chini.

Hongera sana nakila la kheri ktk maisha yako na familia yako.

No comments:

Pages