Monday

Babu kicheche! lakini ananisomesha, nimpendae ni Kijana ambae.....

"Habari dada Dinah, natumaini wewe mzima, First and foremost thanks for the advice najua sijawahi kuuliza but seems like we all face the same problems.

Mimi ni mwanamke wa miaka 27 niko njia panda na sina mtu wakunisaidia zaidi yako. Niko kwenye relationship na watu wawili nasijui nifanyeje? Sitajali kama watu wakinishambulia kwasababu nahitaji msaada.

Nimekuwa kwenye relationship na baba mmoja mwenye umri wa miaka 60 kwa muda wa miaka 5, huyu baba amekuwa akinisaidia kwa kila kitu ukichukulia mie sifanyi kazi. Amenisomesha chuo cha bei ghali, ananijali na kunipenda kwa kweli lakini tatizo ni hili hapendi nifanye kazi japokuwa ndio namaliza degree yangu mwaka huu.

Hapendi niwe na marafiki na ikitokea nimetoka na marafiki nikirudi anakuwa hayuko happy, nikienda mahali ambako anakujua basi atanifuata kwa kisingizio cha kuja kunichukua. Hapendi ni-have fun like going to the disco or any activity.

Ajabu for the last few years ambayo tumekuwa pamoja amekuwa na wasichana wengi since anasafiri sana na kila mahali anakokwenda analala na wasichana but yote nimevumilia na sikuwahi kummuuliza kwasababu naogopa kukatishiwa huduma.

Miaka miwili iliyopita tulihama Tz na sasa tuko Australia still ananipenda na kunihudumia na bado akiwa anasafiri ana-sleep na wanawake wengine. Anapenda kuzungumzia mambo ambayo mimi sina mpango wa kuyafanya.

Kwa muda wa miaka minne amekuwa akiniomba tigo lakini nimekuwa nikikataa pia huwa anataka 3some na marafiki zangu na tukiwa tunasex anataja majina ya marafiki zangu na siku hizi tunaweza kukaa bila sex hata miezi miwili ila blow jobs nampa karibia every other day.

In a positive side yaani tunapatana, kuelewana na ananisaidia na mambo mengi sana ya kimaisha lakini tatizo hatujaoana na mie sijajijenga japokuwa nina vipesa bank bt sio vingi ki-hivyo, also nikiwa na idea za kufanya vitu au kutafuta kazi ana-ni turn down.

Ki-ukweli mie niko very bright na nikiamua na kupata mtu atakayenipush hapa na pale nitafika mbali, huwa najiuliza je akifa leo nitafanyaje kwa kuwa sina chochote na yeye hawezi kuniachia chochote kwasababu ana watoto na watoto wake hawajui hii relationship yetu, yaani hata ndugu zake pia hawajui isipokuwa ndugu yake mmoja tu ndio anajua.

Basi nikiwa huku nikakutana na mkaka yeye ana 38yrs, nilimsumbua 4 a year but akawa mvumilivu thereafter nikajikuta niko nae nikamdanganya kuwa that old man ni baba yangu, this guy ananipenda ajabu, amenitambulisha kwa rafiki zake wote na anatarajia kunipeleka nchini kwao kunitambulisha.

He’s so sweet yaani tuna-click big time na niko huru ku-speak my mind sex is great,ananijali,I’m in love & happy with him. Sijawahi kujisikia like this all my life, yaani naamini ananipenda for sure. Nikimwambia idea zangu anazikubali na ananipush nitafute maisha yangu, although sijamwambia relation iliyoko between me na this old man.

The problem is he’s married na hajanificha he has 5 kids all I know there’s a tension between yeye na mkewe for sometime now & he’s not happy with her.

Dada Dinah na walimwengu nifanyeje?what I have planed ni kuwa nikimaliza degree yangu at the end of ths year nitafute kazi nchi nyingine nihame niwaache wote nianze maisha upya as mimi? Kwa abilities nilizonazo naamini nitafika mbali sana.
Samahi kwa email ndefu,
Ahsante
Ni mimi PP"
Dinah anasema: PP asante sana kwa ushirikiano na maelezo yako. Babu anakutumia kama ambavyo wewe unamtumia (kwenye maelezo yako umesema anakupenda na mnaelewana, hujasema unampenda). Ikiwa mnapitisha miezi hata miwili bila ngono ni vema hasa ukizingatia kuwa anakuchanganya na wanawake wengine hun ajinsi ya kumkataza wala kulalamika kwa vile unajua wazi ukifanya hivyo atasitisha huduma hasa ile ya Kielimu.

Sio kwamba na-support kuwa na mwanaume bil amapenzi ili kupata unachokitaka (kumchuna) bali kutokana na maelezo yako inaonyesha kuwa life haiko sawa nyumbani na ndio maana unasomeshwa na huyo babu mzungu, wee sio wa kwanza.

Wapo kina dada wengi tu hapo Dar, huondoka na vijibabu vya kizungu na hata kufunga navyo ndoa kwa sababu za ikuchumi lakini hakuna mapenzi, so ugumu wa maisha na tamaa ya kuendesha maisha ya juu inafanya Mabinti wadoo wengi kufanya unachokifanya, ikiwa sasa una miaka 27 na umekuwa na huyo babu kwa miaka 5 ni wazi umekuwa nae ukiwa na miaka 22.

Kutokana na maelezo yako inaonyesha unajua nini ulikuwa unakifanya na kukitaka......Elimu na maendeleo yako kimaisha, sasa ukifanikisha hili ni vema kufanya kama ulivyosema kuhama nchi na kuanza upya.

Nini cha kufanya: Wakati unaendelea na haratati za kumalizia Digrii yako hakikisha unaachana na huyo mume wa mtu na jitahidi kutumia kinga kila mara huyo kibabu anapotaka ngono na wewe ili kujilinda.....kama unaweza usimpe kabisa mwili wako kwa kutafuta sababu atakazoziamini.

Kwa vile ni babu na mzungu haina maana kuwa hapati Ngoma, Australia wanapima Ngoma wageni lakini watu wao hawawapimi Ngoma wanapotoka na kuingia hivyo wanapokwenda Afrika au nchi nyingine na kungonoka ovyo uwezekano wa kuukwaa UKIMWI ni kuwa kuliko unavyofikiria. Kuwa mwangalifu, usipoteze maisha yako ktk umri mdgo ulionao.

Baadhi ya mabinti wanaoondoka nyumbani na vibabu vya Kikoloni (kizungu) huishia kufanya sex slaves (watumwa wa ngono), wengine hulazimishwa kuwa makahaba, wengine huteseswa na baadhi huishia kuuwawa.

Baadhi ya Wazungu bado ni wabaguzi, na wanapopata nafasi ya kumiliki binti wa Kiafrika huishia kufawafanyia maovu na mabaya mengi (kuwangonosha na wanyama, kuwafanya watumwa, kuwauza kwa Wazungu wenzao ambao hawajawahi kutomba wanawake weusi ambao wengi wanaamini kuwa ni watamu,kuwafanya mande n.k), kuweni waangalifu mnapojichanganya na hawa jamaa wanaokuja kutembea Bongo kwa ajili ya Ngono (Sex tourists).

Ni matumaini yangu Post hii ya PP itakuwa imesaidia mabinti wengine wanaibabaikia Wazungu wanakuja kutembelea Tanzania wakidhani ni mwisho wa matatizo, baadhi bado wanaunyama miyoni mwao dhidi ya Muafrika.

Kila la kheri kwenye masomo yako na katika kuhama makazi.

No comments:

Pages