Saturday

Je kuna namna ya kuamua jinsia ya mtoto?-Msaada

"Hi Dada D,
Naomba ushauri kutoka kwa mtu yeyote mwenye utaalam wa kujua jinsi ya kuamua kupata mtoto wa kiume au wa kike. Cha muhimu ni kujua wakati gani nikikutana na mke wangu atakuwa na mimba ya mtoto wa kiume au wa kike?

Asanteni.

No comments:

Pages