Sunday

Nifanye nini ili nami nipate raha na Utamu wa Kungonoka?

"Hey Dinah pole sana ka shughuli na asante kwa kutufundisha wenzangu na mie ambao tumeanza malavidavi kabla ya kufundishwa Unyagoni, maana wengine hatuna Mila za kuingizwa unyagoni basi tuna tabu.

Mimi ni mwanamke wa miaka 29 na nimeanza kujihusisha na masuala ya kimapenzi na ngono na mwanaume wa kwanza nikiwa na miaka 26, tulikuwa tunakutana mara mbili kwa mwezi na hivyo hatukuwa na muda wa kungonoana vizuri. Mwanaume huyu alikuwa anajipendelea yeye kwani hakuwa na communication na mimi alikuwa anataka anavyotaka yeye.

Sasa hivi nimepata mwanaume mwingine na muda wa kuwa nae na kufanya mapenzi ni mwingi zaidi kuliko awali ila tatizo langu kubwa ni kuwa sijawahi hata siku moja kusikia raha ya kufanya tendo kama ninavyosikiwa kutoka kwa wenzangu au kwako Dinah hasa pale mahali ulipoandika kuwa "mnaweza kukojoa pamoja".

Kukojoa kwangu ni mpaka anichezee K kwa muda mrefu wakati mwingine huwa namuonea huruma kwani nahisi kama vile namchisha na hivyo naishia kumwambia "tayari nimefika" kumbe bado. Nashukuru Mkaka huyu najali na huwa hapendi kuacha mpaka ahakikishe nimekojoa ilandio hivyo tena.

Naomba ushauri kutoka kwenu kwenye haya mawili: (1)-Nifanye nini ili na mimi angalau nifurahie ngono kama wenzangu?

(2)-Niifanye nini ili niweze kumaliza na mwenzangu kwa wakati mmoja?

Asanteni.

No comments:

Pages