Saturday

Nifanye nini ili mimi na mpenzi tukojoe pamoja?-Ushauri

"Hey Dinah pole sana kwa shughuli za mchana kutwa, pili asante sana kwa kutufundisha wenzangu na mimi ambao tumeanza malavidavi kabla ya kufundishwa Unyagoni. Wengine hatuna Mila za kuingizwa Unyangoni basi tuna taabu.

Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nimeanza kungonoka nikiwa na miaka 26 na mwanaume wa kwanza ambaye ndio alinitoa Usichana wangu. Tulikuwa tunakutana kwa mwezi mara 2 hivyo tulikuwa hatuna muda wa kungoana vizuri.

Mwanaume huyu alikuwa anajipendelea yeye hana Commucation na mimi, alikuwa anataka anavyotaka yeye, baada ya muda fulani tukaachana. Sasa hivi niko na mwanaume mwingine ambae kwa bahati nina muda mwingi tu wa kungonoka naye ila tatizo langu kubwa mimi sijawahi hata siku moja kupata raha ya kungonoka.

Nasemea ile raha kama ninavyosikia kwa wenzangu au kwako unavyoandika ushauri kuwa unaweza mkakojoa kwa pamoja sijawahi hata siku moja! Mimi kukojoa kwangu mpaka mpenzi wangu anichezee K tena kwa muda mwingi sana mpaka namuonea huruma.

Basi kwa vile nadhania kuwa namchosha inabidi nimwambie tayari nimefika kumbe bado. Nashukuru sana mwanaume wa watu hapendi niondoke bila mimi kukojoa.Naomba ushauri nifanye nini na mimi niwe napata raha kama wenzangu?

Pili, nifanye nini ili na mimi niweze kumaliza pamoja na mwenzangu?"

No comments:

Pages