Monday

Ufupi wangu unaudhi ndugu zake-Ushauri

Dinah habari yako nina swali nataka kujua. Mimi ni msichana nina bf tunapendana ,ila shida yangu ni hii bf wangu ni mrefu kuliko mimi. Siku moja mama yake akamwambia "unataka kuoa mbilikimo" halafu nilisikia, nilijsikia viabaya sana mpaka leo nikikumbuka ile sentensi huwa nakuwa na hasira sana.

Je niendelee kuwa naye na nivumilie "unyanyapaaji" wa ndugu zake hasa dada zake wanavyosema mimi ni mfupi au nianze zangu nikatafute mtu ambaye atanipenda na familia yake haitaniona tofauti hasa kimaumbile? Maana hata bf hapendi tuongozane maana anasema naonekana kama mtoto wake. ???

No comments:

Pages