Wednesday

Samahani!

Kwa kupotea ghafla, "nilibanika"(busy) na majukumu ya kulinda ndoa, si wajua ukijisahau kidogo inakubidi urudi kwenye "basics"? Basi ndio hivyo ilivyokuwa.

Ila sasa mambo yatakuwa bomba, endelea kuwepo ili tujifunze pamoja.

No comments:

Pages