Friday

Viagra!


Mambo vipi wewe!

Kwenye Topic ya 12 Feb 2009.
Naona watu wanashauriana vitu ambavyo inaonyesha kuwa vinafanywa na wengi kwenye mahisano ya kimapenzi bilakujua kwanini hasa Viagra ipo na inafanya kazi gani? Kama ilivyo kwenye matumizi ya karanga na korosho....wengi wanadhani inaongeza nyege lakini ktk hali halisi "nuts" zinaongeza uzalishaji mzuri na wenye afya wa Shahawa/Manii na sio nyege.



Kuna msemaji mmoja katoa actually "somo" (hehehehe nimecheka mpaka nimeanguka alafu ndio nikaanza kusikitika) kuwa unaisaga Viagra kisha unaichanganya na Juice na kumpa mumeo....sasa huoni kuwa huko ni kumbaka? Unamlisha dawa ya kusimamisha uume bila yeye kuandaa mwili na akili yake tayari kwa tendo hilo takatifu?



Come on wanadada, kama yeye akifanya hivyo wakati wewe huna hamu ya ngono kwa vile uwezo wako mdogo utajisikiaje? Hakika utaenda kumshitaki kuwa kakubaka kwa wakuu wa mtaa.



Itambulike kuwa Viagra haimpi mwanaume nyege bali inasababisha mapigo ya moyo kwenda kasi na hivyo kusukuma damu kwenye mishipa ya uume wake na kusababisha uume kusimama. Nyege inategemea zaidi akili/Saikolojia na kuachiwa kwa "homono" (wacha nitafute jina lake kwa kiswahili hapa) na sio mapigo ya moyo na msukumo wa damu.



Mwanaume kama anauwezo mdogo wa kungonoka hata ufanye nini hawezi kuwa na nyege unless zije zenywe pale mwili wake unapokuwa tayari....japo kuwa kuna dawa za kumfaya anyegeke lakini haiwi kama vile kunyegeka kiasilia.



Vilevile kutokuwa au kupungukiwa na nguvu za kiume kwamba mwanaume hawezi kusimamisha lakini anakuwa na nyege kama kawaida ila Mboo haidisi (hawa ndio wanahitaji Viagra) ni tofauti na mwanaume mwenye uwezo mdogo wa kungonoka a.k.a low sex drive.

Ukweli sasa.
Inasemekana kuwa Viagra ilibuniwa au tengenezwa maalumu kabisa kama dawa ya kutibu Ugonjwa wa moyo, sasa kusimamisha uume ilikuwa moja ya "side effect" ya dawa hiyo (kabla hawajaibadilisha jina na matumizi yake).


Sasa mwanaume yeyote mwenye tatizo la kusimamisha a.k.a ED iwe haisimami kabisa ua ule ugumu wake unakuw ahautoshi kuingia ukeni ndio huwa wanashauri wa Daktari husika kutumia "buluu" na hiyo hufanyika mara baada ya kuangaliwa afya yake nahivyo kupimiwa kiwango gani atumie.


Wanaume walio wahi kuzitumia au wale wanaozitumia wanaweza kueleza kwa kirefu zaidi.

Jaribu kufahamu mwili wa mumeo wako na namna gani unafanya kazi badala ya kuchanganya mambo kwa mfano wengi wanafikiri kusimamisha ndio nyege na nyege ndio kusimamisha.


Ili mwanaume asimamishe ofcoz anahitaji kusisimuliwa ili kunyegeka, mnyegeko ukitokea ndio anasimamisha....lakini kama anatatizo ED basi atasisimka (nyege kibao) lakini misuli ya uume itagoma kusimama na hapo ndio atahitaji msaada wa Daktari na hatimae kupatiwa kidonge buluu.


Tafadhali ongezea kutokana na uzoefu wako.

Ty.

No comments:

Pages