Tuesday

Kubemenda mtoto ni Imani tu au kuna Ukweli?

Ni matumaini yangu kuwa unakumbuka ile somo kuhusu kufanya ngono baada ya kuzaa/jifungua kiasili, nilipokea maswali mengi kuhusu Kubemenda mtoto ambayo niliayajibu kwa kirefu kupitia Kipindi changu Radioni. Lakini kwa faida ya wale ambao hawakubahatik akunisikia basi karibus ana.

Unaweza kunipa maana ghalisi ya neno Kubemenda?

Nijuavyo mimi au nisema kama nilivyokuwa nikisikia, kubembenda mtoto ni kitendo cha baba na mama wa mtoto huyo kufanya mapenzi/ngono na watu tofauti kabla mtoto hajakua vya kutosha au hajatoka Arobaini. Inasemekama ktk kipindi hicho mama akifanya mapenzi basi mtoto anapata matatizo kiafya.

Matatizo yenyewe hujitokeza mtoto anapofikia umri wa kuanz akuropoka maneno, kutembea, kujaribu kusimama n.k. kwa kawaida ni kati ya miezi 6 na nane kwa watoto wengi lakini wengine huwahi au kuchelewa zaidi.

Matatizo hayo ambayo kama vile kuchelewa kufanya/anza hatu ahizo za mwanzo za ukuaji wake, mtoto anakuwa kama vile anautindio wa akili, anatokwa na udenda ovyo....yaani anakuwa mlemavu.

Endelea kuwepo basi........pia nitakupa maelezo muhimu yahusuyo ngono ya mdomo. Una nyege mpaka kwenye kope na mume anataka mpaka anatetemeka kama sio kulia lakini uke ndio uko"sore" unaamu kumpa mdomo na yeye akupe mdomo......si ndio? Nini kinafuata baada ya hapo basi?

Naja.....

No comments:

Pages